Shahidi Akwamisha Kesi ya Lissu, Mahakama Yaahirisha hadi Jumatatu
Lissu ameendelea kupinga kuahirishwa kwa kesi hiyo akidai kuwa upande wa Jamhuri umekuwa ukiomba kuahirishwa kwa kesi mara kwa mara bila Mahakama kuchukua hatua dhidi yao.
Lissu ameendelea kupinga kuahirishwa kwa kesi hiyo akidai kuwa upande wa Jamhuri umekuwa ukiomba kuahirishwa kwa kesi mara kwa mara bila Mahakama kuchukua hatua dhidi yao.
Shahidi wa kificho katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameieleza Mahakama Kuu kuwa ana hofu ya kutoa ushahidi wake hadharani, akisema suala hilo ni “very sensitive” na kwamba wafuasi wa chama hicho wanaweza kuwa na hasira naye licha ya kuwa na mahusiano mazuri na Viongozi wakuu wa Chadema.
Lissu: Shahidi, nataka kwanza nianze na maswali yangu ya jana kuhusu tofauti kati ya ushahidi ulioutoa kwenye maelezo ya polisi na ushahidi ulioutoa kizimbani. Waeleze Waheshimiwa Majaji kama unaamini maelezo yako yanapaswa kuaminiwa na mahakama.
Shahidi: Ni kweli.
Lissu: Waeleze Waheshimiwa Majaji kama kuna mahali umeeleza sababu za tofauti kati ya ulichoandika na ulichosema mahakamani.
Shahidi: Hakuna mahali.
Lissu pia alitumia sehemu ya mahojiano hayo kumkumbusha shahidi kuhusu historia ya kukamatwa kwake katika vipindi mbalimbali akiwa mwanasiasa na mbunge, pamoja na tukio la kupigwa risasi mwaka 2017.
Katika mahojiano yake ya maswali ya dodoso kwa shahidi, Lissu alitaka shahidi aeleze iwapo hotuba yake ilikuwa ikizungumzia masuala ya uchaguzi na changamoto za mfumo wa uchaguzi nchini.
Shahidi alikiri kuwa jina la Tundu Lissu lilikuwepo katika maelezo hayo, lakini alikanusha kuwa aliandika kwamba aliona jalada lililomtaja Tundu Antipus Lissu alipofika kwa Naibu ZCO George Bagemu.
Shahidi huyo ni Kamishna Msaidizi wa Polisi, Amini Mahamba, ambaye ndiye mpelelezi mkuu wa kesi hiyo mwenye umri wa miaka 50, ambaye amesema amekuwa akifanya kazi katika Jeshi la Polisi tangu mwaka 2000 na kwa sasa anafanya kazi katika kitengo kinachoshughulikia makosa ya mtandao, maadili ya umma na makosa yanayohusisha usalama wa nchi.
India’s lower house of parliament approved a bill on Wednesday that would toughen penalties for leaking exam papers, after youth-led protests calling for sweeping reforms forced the education minister to resign.
Kenya’s mangrove forests cover approximately 61,271 hectares along the country’s 536-kilometre coastline, with Lamu County accounting for about 61 per cent of the national mangrove cover
President Donald Trump said the United States would hold Iran responsible for the Houthis’ actions and warned both would soon receive a “major military punishment”.