• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Crime & Justice

Lissu Atumia PGO Kumuhoji Shahidi wa Jamhuri
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Lissu Atumia PGO Kumuhoji Shahidi wa Jamhuri

Wadh KassimFebruary 17, 2026February 17, 2026

Shahidi alidai kuwa Aprili 3, 2025 alikuwa katika doria jijini Arusha akiwa na askari wengine wanane, wakitumia gari aina ya Toyota. Wakiwa doria, alipokea maelekezo kupitia *radio call* kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Boni Mgogo, kuhusu taarifa za vijana wanaodaiwa kuhamasishana kuzuia Uchaguzi Mkuu wa 2025 katika eneo la Mromboo

Shahidi Aeleza Hotubu Ya Lissu Ilivyomshawishi Kuunga Mkono Agenda Ya “No Reform No Election”
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi Aeleza Hotubu Ya Lissu Ilivyomshawishi Kuunga Mkono Agenda Ya “No Reform No Election”

Wadh KassimFebruary 16, 2026

Shahidi alidai kauli hiyo ilimpa hamasa ya kuwahamasisha vijana wenzake wa mtaani zoezi ambalo alilifanya Aprili 8, 2025 katika eneo la Njoro maarufu Pepsi.Hata hivyo wakati akiendelea na zoezi hilo kuwahamasisha ghafla alikamatwa na Polisi huku wenzake wakikimbia

Dubai’s DP World Replaces Leader After he is Named in Epstein Emails
Crime & Justice International

Dubai’s DP World Replaces Leader After he is Named in Epstein Emails

Wadh KassimFebruary 13, 2026

Dubai’s DP World named a new chairman and chief executive officer on Friday, replacing its former leader Sultan Ahmed bin Sulayem, after the Epstein files revealed frequent correspondence between him and the convicted sex offender.

Shahidi aeleza hotubu ya Lissu ilivyomshawishi kuunga mkono agenda ya “No Reform No Election”
Africa Crime & Justice East Africa Rights & Freedoms Tanzania

Shahidi aeleza hotubu ya Lissu ilivyomshawishi kuunga mkono agenda ya “No Reform No Election”

Wadh KassimFebruary 13, 2026

Shahidi huyo alipoulizwa namna alivyobadilika kutoka kuwa mtuhumiwa wa kupanga maandamano yasiyo na kibali hadi kuwa shahidi katika kesi ya uhaini, P6 alijibu kuwa hafahamu.

#BREAKING: Top Goldman Sachs Lawyer Resigns After Epstein Ties Revealed
Crime & Justice International

#BREAKING: Top Goldman Sachs Lawyer Resigns After Epstein Ties Revealed

Wadh KassimFebruary 13, 2026

The firm’s general counsel Kathryn Ruemmler had courted intense scrutiny after the Department of Justice dumped emails in recent weeks that showed her extensive relationship with the disgraced financier.

Macron Wants Answers on French Diplomat in Epstein Files
Crime & Justice International

Macron Wants Answers on French Diplomat in Epstein Files

Wadh KassimFebruary 13, 2026

Macron speaking to journalists in Belgium, said he had asked Barrot to find out “how, given what was apparently known, measures weren’t taken earlier”

Shahidi wa Siri P5 Asimulia Video ya Lissu Ilivyompa Hofu
Africa Crime & Justice East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Shahidi wa Siri P5 Asimulia Video ya Lissu Ilivyompa Hofu

Wadh KassimFebruary 12, 2026

Shahidi huyo, mwenye umri wa miaka 33 na mkazi wa Kibangu, wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam, aliiambia Mahakama kuwa anajishughulisha na biashara ndogondogo ya kuuza viatu na soksi katika maeneo ya Mchikichini, Feri na Posta Mpya. Pia hufanya kazi ya kuosha magari mara kwa mara.

Kenya starvation cult preacher charged over 52 more deaths
Africa Crime & Justice East Africa Kenya Religion Rights & Freedoms Social Issues

Kenya starvation cult preacher charged over 52 more deaths

Wadh KassimFebruary 12, 2026February 12, 2026

A self-proclaimed preacher in Kenya linked to an infamous starvation cult that killed more than 400 people was charged on Wednesday over a further 52 deaths, prosecutors said.

Thai Police Shoot School Gunman
Crime & Justice International

Thai Police Shoot School Gunman

Wadh KassimFebruary 11, 2026

Thai police shot and arrested a gunman who opened fire Wednesday at a school in southern Thailand, police and other authorities said.

Mahakama Yakataa Matumizi ya Kizimba cha Siri Hadi Kirekebishwe
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Mahakama Yakataa Matumizi ya Kizimba cha Siri Hadi Kirekebishwe

Wadh KassimFebruary 11, 2026

Lissu alipinga muundo wa kizimba hicho akieleza kuwa kinazuia hata majaji kumuona shahidi na kufuatilia mienendo na tabia zake wakati wa kutoa ushahidi, jambo alilodai linakiuka kanuni ya tatu ya ulinzi wa mashahidi.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy