Macron Wants Answers on French Diplomat in Epstein Files
Macron speaking to journalists in Belgium, said he had asked Barrot to find out “how, given what was apparently known, measures weren’t taken earlier”
Macron speaking to journalists in Belgium, said he had asked Barrot to find out “how, given what was apparently known, measures weren’t taken earlier”
Shahidi huyo, mwenye umri wa miaka 33 na mkazi wa Kibangu, wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam, aliiambia Mahakama kuwa anajishughulisha na biashara ndogondogo ya kuuza viatu na soksi katika maeneo ya Mchikichini, Feri na Posta Mpya. Pia hufanya kazi ya kuosha magari mara kwa mara.
A self-proclaimed preacher in Kenya linked to an infamous starvation cult that killed more than 400 people was charged on Wednesday over a further 52 deaths, prosecutors said.
Thai police shot and arrested a gunman who opened fire Wednesday at a school in southern Thailand, police and other authorities said.
Lissu alipinga muundo wa kizimba hicho akieleza kuwa kinazuia hata majaji kumuona shahidi na kufuatilia mienendo na tabia zake wakati wa kutoa ushahidi, jambo alilodai linakiuka kanuni ya tatu ya ulinzi wa mashahidi.
Mara, who was prime minister of the west African country for eight months from 2014 until 2015, was charged with “undermining the credibility of the state and opposing legitimate authority” in October.
Tundu Lissu alisisitiza kuwa kizimba kilichotumika hakiwezi kutambuliwa kama kizimba cha mashahidi kwa mujibu wa kanuni na tafsiri ya kisheria. Alidai kuwa kizimba hicho hakionekani na waheshimiwa majaji, hali ambayo kwa mtazamo wake inakiuka misingi ya usikilizwaji wa haki.
Eric Langat, maarufu Kirinyet, alipatikana katika hali ya kutatanisha na mgonjwa ndani ya chumba cha ushauri baada ya wenzake kukimbilia kufuatia kelele za msaada.
Eric Langat, popularly known as Kirinyet, was discovered in a compromising situation with the woman inside a consultation room after colleagues rushed to respond to her distress call.
Lissu alieleza kuwa haki yake ya kuwasiliana na mawakili wake imekuwa ikikiukwa kwa muda mrefu, akidai kuwa maafisa wa magereza wamekuwa wakisikiliza mazungumzo yake na mawakili wake kinyume na sheria.