Pomp and color as CS Namwamba graces the graduation of the 5th cohort of IYF weekend Academy program
The government of Kenya has said it intends to tap into a vast pool of talented youth in various fields of skills.
The government of Kenya has said it intends to tap into a vast pool of talented youth in various fields of skills.
Jumla ya watu 670,000, ni raia wa taifa jirani la Sudan, ambao walikimbilia taifa la Sudan Kusini kutokana na vita vinavyoendelea katika taifa hilo. Asilimia 80 kati yao ni raia wa Sudan Kusini, ambao walikuwa wameenda Sudan kutafuta hifadhi.
Samia amesema yapo mambo kadhaa yanochangia Waafrika hao kuendelea kutumia nishati isiyo safi ikiwemo gharama kubwa hususani kwa watu waishio vijijini, pia ulimwengu kwa ujumla kutoweka kipaumbele kwenye suala hilo kwa kutoa ufadhili mdogo na watu kutojua fursa za kiuchumi zitokanazo na matumizi ya nishati safi ya kupikia.
Taarifa kutoka wizara ya elimu, imesema kuwa asilimia 95 ya shule ziko tayari kuanza tena muhula wa pili, huku hali katika baadhi ya taasisi za masomo katika kaunti saba zikiwa bado zinachunguzwa ili kuhakikisha unaafikia mazingira hitajika ya wanafunzi kutumia.
Burkina Faso, Mali and Niger, which was put under regional economic sanctions after a coup last July, are all on the UN list of the least developed nations in the world.
Everybody who is allowed to fly a non-commercial aircraft in Nigeria is now having their license re-assessed, says a top official.
The United Arab Emirates and Egypt agreed Tuesday to develop one of the world’s largest wind farms in a deal struck on the sidelines of the UN’s COP27 climate summit in Sharm el-Sheikh.
Bei ya vyakula duniani ilishuka kidogo mwezi uliopita baada ya kufikia rekodi yake ya juu mwezi Machi lakini imesalia kuwa juu kutokana na vita vya Ukraine
“Bei za bidhaa za chakula duniani zilipanda kwa kiasi kikubwa mwezi Machi kufikia viwango vyake vya juu zaidi,”FAO
“In the face of the catastrophic impact of COVID-19 on the fight against HIV, TB and malaria, the choice is stark: We either increase funding, or we abandon hope of finally defeating these epidemics by 2030,” Peter Sands, Executive Director of the Global Fund.