Kenyan police ‘close to making arrests’ over death of UK soldier
Kenyan authorities are working closely with the UK government to investigate the killing of a british soldier during an attempted robbery last week.
Kenyan authorities are working closely with the UK government to investigate the killing of a british soldier during an attempted robbery last week.
EWURA imesema kwa mwezi huu wa Desemba, 2023 bei za mafuta (FOB) kwenye soko la dunia zimepungua kwa wastani wa 0.8 kwa mafuta ya petroli na asilimia 9.11 kwa mafuta ya dizeli
Kenya inakabiliwa na changamoto nyingi, ikiwa ni pamoja na uhaba wa mapato na sarafu inayoshuka ambayo imepelekea gharama za ulipaji kupanda kwa deni lake la umma
It happened near the slopes of Mount Hanang, where President Samia Hassan has now deployed national security forces to help rescue efforts.
Serikali ya Tanzania imeeleza kuwa itakuwa inafanya marekebisho ya kodi kila baada ya miaka mitatu ili kuwa na Sera ya kodi inayotabirika na kuwafanya wawekezaji kuweka mipango yenye ufanisi.
Mkataba huo umetiwa saini Jijini Dar es Salaam kati ya Katibu Mkuu Wizara ya Fedha ambaye pia ni Mlipaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, na Balozi wa Sweden nchini, Mhe. Charlotta Ozaki Marcias.
Mahakama ya Afrika Mashariki imetupilia mbali ombi la kutaka kusimamisha ujenzi wa bomba la mafuta ghafi lenye thamani ya $4bn (£3.1bn) kutoka Uganda hadi nchini Tanzania.
The East African Court of Justice (EACJ) on Wednesday ruled that the case was filed too late and was therefore time-barred and beyond its jurisdiction.
Malawi’s government has announced plans to send 5,000 young people to work on Israeli farms, despite criticism for sending 221 young people to the country last weekend.
While ordering that no charges should be further collected, Justice Majanja ruled that sections 84, 72 to 78 of the Finance Act have also been termed null and void.