Uchaguzi mdogo wa Ubunge kufanyika kesho Mbarali
Kwa mujibu wa taarifa ya NEC iliyotolewa leo ni kwamba uchaguzi wa jimbo hilo la Mbarali unakwenda sambamba na mchakato wa kata sita za Tanzania Bara ambao utahusisha vituo 580 vya kupigia kura.
Kwa mujibu wa taarifa ya NEC iliyotolewa leo ni kwamba uchaguzi wa jimbo hilo la Mbarali unakwenda sambamba na mchakato wa kata sita za Tanzania Bara ambao utahusisha vituo 580 vya kupigia kura.
Bei hizo mpya za mafuta zitatekelezwa kuanzia Septemba 15, usiku wa manane hadi Oktoba 14, 2023.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dkt. Francis Michael kuwahimiza Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa huo kuwalipa watumishi wa Afya stahiki zao kwa wakati.
Interior Cabinet Secretary Kithure Kindiki has stated that he will not relent in his efforts to clear the backlog in…
Kenya’s economy is saddled with $69 billion in debt and the shilling has lost 30 percent of its value against the dollar in 18 months
kulikuwa na uvumi katika mitandao ya kijamii kuwa baadhi ya wanyama pori wanasafirishwa kisiri siri kupitia ndege za mizigo kutoka Loliondo wilaya ya Ngorongoro karibu na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, hadi Umoja wa Falme za Kiarabu.
Kenya last experienced the El Niño rains between 2015 and 2016
Lissu, an outspoken critic of Magufuli and the governing CCM party, was shot 16 times in 2017
Ni dhahiri wazi Waziri wa Usalama wa Kitaifa nchini Kenya Prof. Kithure Kindiki ana azima ya kuleta mabadiliko makubwa katika idara ya uhamiaji iliyopo jumba la Nyayo Jijini Niarobi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amemuagiza Naibu wake, Dotto Biteko, kutafuta muarobaini wa changamoto ya uhaba wa mafuta ndani ya siku saba.