• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: East Africa

Mwabukusi:TLS haijalamba asali, tutakosoa pale inapobidi
East Africa Rights & Freedoms Tanzania

Mwabukusi:TLS haijalamba asali, tutakosoa pale inapobidi

Asia GambaFebruary 3, 2025

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwambukusi, amesema kuwa TLS siyo kikundi cha kigaidi bali ni taasisi halali inayofanya kazi kwa mujibu wa sheria, ikiwa na haki ya kuishauri, kupongeza, na hata kuikosoa serikali pale inapobidi.

Kenyan MP writes demand letter to President Samia over his brief detention in Tanzania
Africa East Africa Kenya Tanzania

Kenyan MP writes demand letter to President Samia over his brief detention in Tanzania

Kevin SeweFebruary 3, 2025

The Embakassi East now demands a response from the Tanzania administration through President Samia Suluhu on why he was briefly detained at Julius Nyerere international Airport

Wanajeshi wawili wa Tanzania wauawa katika mapigano DRC
East Africa Tanzania War & Conflicts

Wanajeshi wawili wa Tanzania wauawa katika mapigano DRC

Asia GambaFebruary 3, 2025

Wanajeshi wawili wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wameuawa katika mapigano yaliyotokea katika kipindi cha siku kumi zilizopita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Rais wa Burundi atahadharisha vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC
Africa East Africa War & Conflicts

Rais wa Burundi atahadharisha vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC

Asia GambaFebruary 1, 2025

Rais wa Burundi atoa onyo kuhusu vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC akisema kuwa vita hivyo vinaweza kusababisha vita vya kikanda.

Why Uganda Court Ruled in Favor of Besigye’s Treason Trial Under Military Courts?
Africa Crime & Justice East Africa Uganda

Why Uganda Court Ruled in Favor of Besigye’s Treason Trial Under Military Courts?

Mwanzo EditorJanuary 31, 2025February 3, 2025

Besigye was once President Yoweri Museveni’s trusted personal physician but has become a government target since joining the opposition 25 years ago and unsuccessfully running for president four times.

Mahakama ya juu Uganda yasimamisha kesi za raia katika mahakama ya kijeshi
Africa East Africa Uganda

Mahakama ya juu Uganda yasimamisha kesi za raia katika mahakama ya kijeshi

Kevin SeweJanuary 31, 2025

Mahakama ya juu zaidi nchini Uganda imetaka kesi za raia katika mahakama ya kijeshi zisitishwe isipokuwa zile zinazohusisha masuala ya kinidhamu kwa maafisa wa kijeshi ambao bado wanahudumu.

Rwanda-backed M23 advances in DRC as volunteers rally to fight back
Africa Crime & Justice East Africa War & Conflicts

Rwanda-backed M23 advances in DRC as volunteers rally to fight back

Kevin SeweJanuary 31, 2025

After seizing the biggest city in eastern DR Congo, the Rwandan-backed armed group M23 was advancing south through a neighbouring…

Vijana wawili kati ya wanne waliotekwa nchini Kenya wapatikana wamekufa
East Africa Kenya

Vijana wawili kati ya wanne waliotekwa nchini Kenya wapatikana wamekufa

Kevin SeweJanuary 30, 2025

Mutumwa alikuwa ametoweka mnamo Desemba 16, 2024, pamoja na Mwau na Karani Muema. Kwa zaidi ya mwezi mmoja, familia zao zilikuwa zikitafuta majibu kuhusu kutoweka kwao.

Wasira awakosoa wanaohoji umri wake na kazi aliyopewa na CCM
East Africa Politics Tanzania

Wasira awakosoa wanaohoji umri wake na kazi aliyopewa na CCM

Asia GambaJanuary 30, 2025

Wasira ametoa mfano wa Donald Trump, ambaye amechaguliwa kuwa Rais wa Marekani katika uchaguzi wa hivi karibuni, akisema kuwa licha ya umri wake mkubwa, Wamarekani walimchagua kwa sababu ya sera zake na si kwa kuangalia umri wake.

Tshisekedi: Jeshi linatekeleza wajibu wake dhidi ya uvamizi wa M23
East Africa War & Conflicts

Tshisekedi: Jeshi linatekeleza wajibu wake dhidi ya uvamizi wa M23

Asia GambaJanuary 30, 2025

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Felix Tshisekedi, amesema jeshi lake linatekeleza wajibu dhidi ya wapiganaji wanaoungwa mkono na Rwanda, waliovamia maeneo mapya mashariki mwa nchi, na alionya juu ya uwezekano wa “kuongezeka  kwa mivutano” katika eneo hilo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo