Kenyans at Risk as Contaminated Rice Floods the Market
KEBS has managed to seize only 23 tonnes of the contaminated rice, while the remainder continues to be sold to unsuspecting consumers.
KEBS has managed to seize only 23 tonnes of the contaminated rice, while the remainder continues to be sold to unsuspecting consumers.
Kindiki on his part vowed to help President William Ruto realise his aspirations and those of the UDA party for the people of Kenya
Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Lawrence Nyasebwa Mafuru, amefariki dunia leo Novemba 9,2024 katika Hospitali ya Apollo nchini India.
In an official statement released, CAK has ordered all mobile networks to block telegram operations between 7am-10am in the morning and from 1pm to 5pm in the Evening, from Monday to Friday upto until November 22nd 2024.
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, ametoa msisitizo kwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kutenda haki kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waweke pingamizi ndani ya siku 2 kuanzia leo tarehe 08 – 09/11/2024.
Kenyan actress and comedienne Tabitha Gatwiri, who passed away on Thursday, October 31, is set to be laid to rest on Friday, 15 November.
Matokeo ya utafiti huo uliofanywa katika mikoa yote nchini, yanaonesha matumizi ya viuatilifu kwenye uzalishaji mboga za majani yanachangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la magonjwa yasiyoambukizwa kwa binadamu kama vile saratani, kisukari na matatizo ya uzazi.
Baada ya maendeleo na kutiwa saini kwa itifaki tisa mwezi Julai, Makamu wa Rais Riek Machar alitangaza kujiondoa kwenye majadiliano. Riek Machar anasalia kuwa mpinzani mkuu wa Rais Salva Kiir, ingawa wanafanya kazi pamoja katika serikali ya umoja na ya mpito iliyoundwa chini ya makubaliano ya amani ya mwaka 2018.
President Ruto and President Salva Kiir are scheduled to discuss strategic regional infrastructure projects, including the LAPSSET Corridor, which aims to boost trade by providing seamless connectivity between South Sudan and the Indian Ocean