ACT Wazalendo yalaani kukamatwa kwa M/kiti wa NETO, yataka aachiwe huru
Chama cha ACT Wazalendo kimelaani vikali kukamatwa kwa ndugu Joseph Paulo Kaheza, Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), ambaye anashikiliwa na polisi mkoani Geita tangu jana Februari 24, 2025