Waziri Gwajima ataka wanafunzi waliojirekodi utupu wapelekwe kwenye mpango wa kurekebisha tabia
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amebaini hayo akiwa kwenye ziara Mkoani Tabora ambapo amesikitishwa pia na kitendo cha baadhi ya Watoa huduma Mashuleni kuwatongoza Wanafunzi.