Mbunge wa Kenya amtaka Rais Samia kuelezea mbona alizuiliwa Kuingia Tanzania
Wafanyakazi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere walimjulisha Babu Owino kuwa jina lake lilikuwa kwenye orodha ya watu wasio na kubalika nchini Tanzania.
Wafanyakazi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere walimjulisha Babu Owino kuwa jina lake lilikuwa kwenye orodha ya watu wasio na kubalika nchini Tanzania.
Mazungumzo hayo yanatarajiwa kulenga kurejesha amani na utulivu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambayo imekumbwa na ghasia na uhamiaji mkubwa.
This summit comes amid rising concerns over rebel group advances in the DRC, particularly the M23, backed by Rwanda, and the growing diplomatic tensions between several African countries
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwambukusi, amesema kuwa TLS siyo kikundi cha kigaidi bali ni taasisi halali inayofanya kazi kwa mujibu wa sheria, ikiwa na haki ya kuishauri, kupongeza, na hata kuikosoa serikali pale inapobidi.
The Embakassi East now demands a response from the Tanzania administration through President Samia Suluhu on why he was briefly detained at Julius Nyerere international Airport
Wanajeshi wawili wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wameuawa katika mapigano yaliyotokea katika kipindi cha siku kumi zilizopita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Rais wa Burundi atoa onyo kuhusu vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC akisema kuwa vita hivyo vinaweza kusababisha vita vya kikanda.
Besigye was once President Yoweri Museveni’s trusted personal physician but has become a government target since joining the opposition 25 years ago and unsuccessfully running for president four times.
Mahakama ya juu zaidi nchini Uganda imetaka kesi za raia katika mahakama ya kijeshi zisitishwe isipokuwa zile zinazohusisha masuala ya kinidhamu kwa maafisa wa kijeshi ambao bado wanahudumu.
After seizing the biggest city in eastern DR Congo, the Rwandan-backed armed group M23 was advancing south through a neighbouring…