• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: East Africa

Mahakama ya juu Uganda yasimamisha kesi za raia katika mahakama ya kijeshi
Africa East Africa Uganda

Mahakama ya juu Uganda yasimamisha kesi za raia katika mahakama ya kijeshi

Kevin SeweJanuary 31, 2025

Mahakama ya juu zaidi nchini Uganda imetaka kesi za raia katika mahakama ya kijeshi zisitishwe isipokuwa zile zinazohusisha masuala ya kinidhamu kwa maafisa wa kijeshi ambao bado wanahudumu.

Rwanda-backed M23 advances in DRC as volunteers rally to fight back
Africa Crime & Justice East Africa War & Conflicts

Rwanda-backed M23 advances in DRC as volunteers rally to fight back

Kevin SeweJanuary 31, 2025

After seizing the biggest city in eastern DR Congo, the Rwandan-backed armed group M23 was advancing south through a neighbouring…

Vijana wawili kati ya wanne waliotekwa nchini Kenya wapatikana wamekufa
East Africa Kenya

Vijana wawili kati ya wanne waliotekwa nchini Kenya wapatikana wamekufa

Kevin SeweJanuary 30, 2025

Mutumwa alikuwa ametoweka mnamo Desemba 16, 2024, pamoja na Mwau na Karani Muema. Kwa zaidi ya mwezi mmoja, familia zao zilikuwa zikitafuta majibu kuhusu kutoweka kwao.

Wasira awakosoa wanaohoji umri wake na kazi aliyopewa na CCM
East Africa Politics Tanzania

Wasira awakosoa wanaohoji umri wake na kazi aliyopewa na CCM

Asia GambaJanuary 30, 2025

Wasira ametoa mfano wa Donald Trump, ambaye amechaguliwa kuwa Rais wa Marekani katika uchaguzi wa hivi karibuni, akisema kuwa licha ya umri wake mkubwa, Wamarekani walimchagua kwa sababu ya sera zake na si kwa kuangalia umri wake.

Tshisekedi: Jeshi linatekeleza wajibu wake dhidi ya uvamizi wa M23
East Africa War & Conflicts

Tshisekedi: Jeshi linatekeleza wajibu wake dhidi ya uvamizi wa M23

Asia GambaJanuary 30, 2025

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Felix Tshisekedi, amesema jeshi lake linatekeleza wajibu dhidi ya wapiganaji wanaoungwa mkono na Rwanda, waliovamia maeneo mapya mashariki mwa nchi, na alionya juu ya uwezekano wa “kuongezeka  kwa mivutano” katika eneo hilo.

Lissu assumes office with message of hope!, ‘’I will stand for justice and fairness’’
Africa East Africa International Tanzania

Lissu assumes office with message of hope!, ‘’I will stand for justice and fairness’’

Kevin SeweJanuary 29, 2025

”We will not sideline anyone. We will work together and ensure everyone gets justice”

Rwanda, DR Congo leaders in crisis summit as Goma’s fate hangs in balance
East Africa International War & Conflicts

Rwanda, DR Congo leaders in crisis summit as Goma’s fate hangs in balance

Mwanzo EditorJanuary 29, 2025February 3, 2025

The president of crisis-hit Democratic Republic of Congo was set to meet his Rwandan counterpart at an emergency summit on Wednesday, as fighters backed by Kigali appeared on the brink of seizing the key city of Goma.

Mapigano yalipuka Goma, wakati wa kikao cha Baraza la Usalama la UN kikiendelea
East Africa War & Conflicts

Mapigano yalipuka Goma, wakati wa kikao cha Baraza la Usalama la UN kikiendelea

Asia GambaJanuary 28, 2025

Risasi zilisikika katika maeneo kadhaa ya mji wa Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), siku leo Jumanne, wakati wanajeshi wa Kongo walipokutana uso kwa uso na wapiganaji wa kikundi cha M23, kilichosaidiwa na wanajeshi wa Rwanda, kabla ya kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

Uganda, Kenya, French and US embassies attacked by protesters in DR Congo
Africa East Africa Kenya Uganda

Uganda, Kenya, French and US embassies attacked by protesters in DR Congo

Kevin SeweJanuary 28, 2025

Gunshots rang out on Tuesday through parts of the besieged DR Congo city of Goma, where Congolese soldiers have clashed with militia fighters backed by Rwandan troops, while furious protesters attacked embassies in the capital Kinshasa.

Kenya yaanzisha mchakato wa kuunda tume mpya ya uchaguzi
East Africa Kenya

Kenya yaanzisha mchakato wa kuunda tume mpya ya uchaguzi

Kevin SeweJanuary 27, 2025January 28, 2025

Rais wa Kenya William Ruto ameteua jopo la watu tisa walio na jukumu la kuwasaili na kuwachuja watakaokuwa kwenye nafasi za Uenyekiti na makamishna wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC).

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy