MAGARI YA WATALII YAKWAMA NGORONGORO KUFUATIA MAANDAMANO YA WAMAASAI YANAYOENDELEA
Msururu wa magari ya watalii yameshuhuduwa kukwama kuendelea na safari zao kufuatia maandamano ya Wamaasai yanayoendelea katika eneo la Ngorongoro yaliyoanza mapema leo asubuhi.