Kenya Court to Rule on Bid to Stop Deputy President’s Ouster
Gachagua, who is accused of threatening a judge among his impeachment charges, on Sunday said he pinned his hopes on the judiciary.
Gachagua, who is accused of threatening a judge among his impeachment charges, on Sunday said he pinned his hopes on the judiciary.
Rais Ruto hajazungumzia hadharani kuhusu kutimuliwa kwa Naibu wake Rigathi Gachagua.
Gachagua amewasilisha kesi mahakamani akipinga seneti kuandaa kikao hicho.
Wakati huo huo mafuta ya taa yatagharimu Ksh.151.39 lita katika mji mkuu wa Kenya Nairobi.
This new office will open the door to fresh business opportunities in Kenya and across East Africa
Julius Nyerere, also known as Mwalimu (Swahili for “teacher”), was the first President of Tanzania, serving from the country’s founding in 1964 until his retirement in 1985.
Taarifa ya BASATA imeeleza kuwa wimbo huo uliotoka Septemba 24.2024 umekiuka kanuni ya 25, kifungu cha sita (6), vipengele C na D vya baraza hilo, ambapo imefafanuliwa kuwa baadhi ya maneno yaliyotumika kwenye ‘mistari’ ya wimbo huo hayakubaliki kufuatia kanuni, sheria na miongozo mbalimbali inayoongoza sanaa nchini
This is due to the broadcast of content by Jambo TV which the Authority claims contained serious allegations of data infringement without giving the said company a right of reply.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa tarehe 9 Oktoba 2024, Mamlaka ya Mawasiliano kupitia kwa Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, inadai kuwa tarehe 1 Oktoba 2024, Jambo Online TV inadaiwa kurusha hotuba ya Mheshimiwa Tundu Lissu, ambayo iliibua tuhuma dhidi ya viongozi wa serikali na kampuni ya Tigo.
shirika hilo lilisema wafungwa hao nchini Tanzania ni mzigo kwa serikali kutokana na kutunzwa kwa fedha za Watanzania.