• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: East Africa

Polisi:Kuna watu wanaandaa taarifa za upotoshaji kuleta taharuki
East Africa People Politics Tanzania

Polisi:Kuna watu wanaandaa taarifa za upotoshaji kuleta taharuki

Asia GambaOctober 28, 2025

Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema kuwa baadhi ya taarifa hizo zimeandaliwa kwa uangalifu ili kuzalisha taharuki, ikiwemo kuchukua matukio yaliyotokea katika nchi nyingine, kuyatengeneza upya, kisha kuyaunganisha na sauti za Kiswahili zenye lafudhi ya nchi yetu ili yaonekane yametokea nchini.

11 dead in Kenya light aircraft crash: airline
Africa East Africa Kenya

11 dead in Kenya light aircraft crash: airline

Kevin SeweOctober 28, 2025

A small plane travelling from Kenya’s coast crashed on Tuesday, killing all 11 people on board, including foreigners, the airline said.

Watanzania wajiandaa kupiga kura kesho
Africa East Africa People Politics Tanzania

Watanzania wajiandaa kupiga kura kesho

Asia GambaOctober 28, 2025

Tume zote mbili  INEC kwa Tanzania Bara na ZEC kwa Zanzibar  zimeahidi kufanya uchaguzi ulio huru, wa amani na unaozingatia sheria. Mashirika ya kiraia na waangalizi wa kimataifa pia wanatarajiwa kufuatilia mchakato huo unaotazamwa kama kipimo muhimu cha demokrasia nchini.

Samia Kuhitimisha Kampeni  Za Uchaguzi Leo Jijini Mwanza
Africa East Africa Politics Tanzania

Samia Kuhitimisha Kampeni Za Uchaguzi Leo Jijini Mwanza

Wadh KassimOctober 28, 2025

Samia, mwenye umri wa miaka 65, anaingia katika kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu wa kesho Jumatano akiwa na historia ya kipekee kama mwanamke wa kwanza kuidhinishwa na CCM kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo awali, aliweka historia nyingine kwa kuwa Makamu wa Rais na baadaye Rais wa kwanza mwanamke katika historia ya taifa hilo.

Africa Crime & Justice East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Tundu Lissu Alalamikia Kutengwa na Udhalilishaji Gerezani

Wadh KassimOctober 28, 2025

Kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye akaunti yake ya X mnamo Oktoba 26, Lissu alisema kuwa chumba chake cha gereza kimefungwa kamera za CCTV zinazorekodi kila hatua yake, hata anapojisaidia au kubadilisha nguo.

Tanzania President Samia Suluhu Hassan: discrete but ruthless
Africa East Africa Tanzania

Tanzania President Samia Suluhu Hassan: discrete but ruthless

Kevin SeweOctober 27, 2025

President Samia Suluhu, a soft-spoken politician who unexpectedly found herself Tanzania’s first female leader, is now accused of overseeing heavy repression in the East African nation.

Murder, Kidnap, Censorship: The ‘New Normal’ Of Tanzania Politics
Africa East Africa Tanzania

Murder, Kidnap, Censorship: The ‘New Normal’ Of Tanzania Politics

Kevin SeweOctober 27, 2025

President Samia Suluhu is said to want nothing less than a total victory, similar to the 99 percent her party, Chama Cha Mapinduzi, won in local polls last year.

Behind Bars of Shame! Tundu Lissu’s Harrowing Prison Experience
Africa East Africa Tanzania

Behind Bars of Shame! Tundu Lissu’s Harrowing Prison Experience

Kevin SeweOctober 27, 2025

Lissu’s cell is now equipped with CCTV cameras that record his every move, leaving him with no privacy. He reveals that the cameras capture everything he does, even when he uses the bathroom or changes clothes.

Samia Suluhu: Kiongozi Aliyeleta Tumaini, Kisha Hofu
Africa East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Samia Suluhu: Kiongozi Aliyeleta Tumaini, Kisha Hofu

Mwanzo EditorOctober 27, 2025October 27, 2025

Wachambuzi wanasema hofu hiyo imemfanya Hassan kutafuta uhalali mkubwa kupitia uchaguzi, kwa kuhakikisha hakuna dalili ya upinzani ndani ya chama wala nje yake.

Fact Check: Tundu Lissu Has Not Been Released, His Case Was Postponed to Nov 3rd
East Africa MwanzoData - Fact Check People Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Fact Check: Tundu Lissu Has Not Been Released, His Case Was Postponed to Nov 3rd

Joy CheptooOctober 24, 2025October 27, 2025

His request for bail was denied, as treason is considered a non-bailable offence under Tanzanian law.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy