Mahakama Kuu kusikiliza maombi ya Habeas Corpus ya John Heche
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi, maombi hayo yamesajiliwa na kupangwa mbele ya Jaji Obadia Bwegoge.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa CHADEMA, Wakili Gaston Garubindi, maombi hayo yamesajiliwa na kupangwa mbele ya Jaji Obadia Bwegoge.
Taarifa hiyo ya ACT Wazalendo ambayo imetolewa leo Alhamisi Novemba 6, 2025, imeeleza kuwa matukio hayo si uvunjifu wa haki za binadamu tu bali pia mamlaka zimekosa utu kwa kutozingatia misingi ya utawala bora.
The 2025 Tanzania General Elections did not comply with AU principles, normative frameworks, and other international obligations and standards for democratic elections.
Katika ripoti yake ya awali, Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa AU ulisema kuwa baadhi ya wapiga kura walipatiwa karatasi nyingi za kupigia kura, na wengine waliruhusiwa kupiga kura bila majina yao kuthibitishwa kwenye daftari la wapiga kura.
Nairobi, November 6, 2025 — Accountability concerns have sparked a major standoff between parents and the administration of Parklands Baptist…
The protesters, who are seeking accountability for the crimes against humanity, called on the ICC to take action against Tanzanian President Samia Suluhu.
The opening of Parliament comes amid intense national unrest and international condemnation following the disputed October 29 elections. Over 700 people have reportedly died in post-election protests, according to opposition sources, with security forces accused of using live ammunition against demonstrators.
The Tanganyika Law Society’s President, Boniface Mwabukusi, has issued a scathing critique of the Director of Public Prosecutions (DPP) and…
Kiongozi huyo wa TLS alidai kuwa Heche alikamatwa na kuzuiliwa kinyume cha sheria, na kwamba wakati wa tukio hilo, vyombo vya dola vilikuwa.
Insurgents using submachine guns and machetes attacked police and military posts in Bundibugyo, Kasese, and Fort Portal districts, killing at least one civilian and one soldier.