Police scatter Togo opposition event amid tensions
On Monday, the parliament voted for a new constitution which changes the presidential system to a parliamentary one.
On Monday, the parliament voted for a new constitution which changes the presidential system to a parliamentary one.
Serikali ya Tanzania imepokea jumla ya dola za kimarekani milioni 602 sawa na trilioni 1.4 za kitanzania kwa ajili ya kukabiliana na magonjwa ya Malaria, Kifua Kikuu na UKIMWI katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2024 hadi 2026.
Wakili wa kujitegemea Dikson Matata amesema wameweka nia ya kumfungilia kesi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa kwa kuvunja nyumba ya mteja wake kinyume na sheria.
Matata anamuwakilisha ndugu Johnsen Leornard Mahururu ambaye hivi karibuni amebomolewa nyumba yake ya ghorofa moja lililopo kwenye eneo la kiwanja no. 484 Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
Mashirika hayo yanaonya kuwa uwindaji wa tembo unaoendelea katika eneo la Enduimet nchini Tanzania unaweza kuwa hatarini kutokomeza rasilimali ya pamoja.
The presidency has asked parliament not to send the bill for his assent until legal challenges against it are dealt with.
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia wafanyabiashara wa madini 10 kwa tuhuma za utoroshaji wa madini Kilogramu 9.8yenye thamani ya Tsh 1,555,476,586
Wanasayansi wanasema wamefanikiwa kuondoa kabisa virusi vinavyosababisha Ukimwi (VVU) kutoka kwenye seli za mwili zilizoambukizwa, kwa kutumia teknolojia ya kurekebisha upya jeni za mwili ya Crispr (Crispr gene-editing technology) iliyoshinda Tuzo ya Nobel
Rais Samia Suluhu Hassan alishika hatamu ya nchi kufuatia kifo cha mtangulizi wake huyo hivyo kuwa mwanamke wa kwanza kuongoza taifa hilo tangu lipate uhuru.
Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kutekeleza ahadi yake ya kutunga sheria ya kuiwezesha Tume Huru ya Uchaguzi kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Taarifa ya TBS iliyotolewa kwa vyombo vya habari imeeleza kuwa chakula hicho kilipoingizwa nchini kilifanyiwa ukaguzi na uchunguzi wa kimaabara na kuthibitishwa kuwa ni salama kwa matumizi.