Wanajeshi wawili wa Tanzania wauawa katika mapigano DRC
Wanajeshi wawili wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wameuawa katika mapigano yaliyotokea katika kipindi cha siku kumi zilizopita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Wanajeshi wawili wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wameuawa katika mapigano yaliyotokea katika kipindi cha siku kumi zilizopita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Rais wa Burundi atoa onyo kuhusu vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC akisema kuwa vita hivyo vinaweza kusababisha vita vya kikanda.
Besigye was once President Yoweri Museveni’s trusted personal physician but has become a government target since joining the opposition 25 years ago and unsuccessfully running for president four times.
Mahakama ya juu zaidi nchini Uganda imetaka kesi za raia katika mahakama ya kijeshi zisitishwe isipokuwa zile zinazohusisha masuala ya kinidhamu kwa maafisa wa kijeshi ambao bado wanahudumu.
After seizing the biggest city in eastern DR Congo, the Rwandan-backed armed group M23 was advancing south through a neighbouring…
Mutumwa alikuwa ametoweka mnamo Desemba 16, 2024, pamoja na Mwau na Karani Muema. Kwa zaidi ya mwezi mmoja, familia zao zilikuwa zikitafuta majibu kuhusu kutoweka kwao.
Wasira ametoa mfano wa Donald Trump, ambaye amechaguliwa kuwa Rais wa Marekani katika uchaguzi wa hivi karibuni, akisema kuwa licha ya umri wake mkubwa, Wamarekani walimchagua kwa sababu ya sera zake na si kwa kuangalia umri wake.
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Felix Tshisekedi, amesema jeshi lake linatekeleza wajibu dhidi ya wapiganaji wanaoungwa mkono na Rwanda, waliovamia maeneo mapya mashariki mwa nchi, na alionya juu ya uwezekano wa “kuongezeka kwa mivutano” katika eneo hilo.
”We will not sideline anyone. We will work together and ensure everyone gets justice”
The president of crisis-hit Democratic Republic of Congo was set to meet his Rwandan counterpart at an emergency summit on Wednesday, as fighters backed by Kigali appeared on the brink of seizing the key city of Goma.