Tanzanians Launch Massive Online Fund Drive to Buy Tundu Lissu New Vehicle
To date, no one has been arrested, charged, prosecuted, or convicted. Lissu’s attackers remain ‘’unknown’’.
To date, no one has been arrested, charged, prosecuted, or convicted. Lissu’s attackers remain ‘’unknown’’.
According to the report from the officials of the Seven Summit Treks (SST), a mountaineering company based in Kathmandu, Nepal, they lost contact with Kirui and his guide at Bishop Rock, which is located at altitude of 8,000 meters.
Mahakama ya Wilaya ya Songwe Mkoani Songwe imemhukumu kifungo cha miaka 30 Simon Salati Mwakasula (65) Mkazi wa Saza Wilaya ya Songwe baada ya kumkuta na hatia ya kosa la kumnajisi mwanafunzi wa darasa la tano shule ya Msingi Chato mwenye umri wa miaka 10.
Watu tisa wakiwemo watoto waliokolewa katika operesheni ya kumsaka kamanda huyo. Watu hao walipatikana mkoani Ituri Mashariki mwa DRC. Bidhaa za kutengenezea mabomu pia zilipatikana huko katika harakati ya kufanya msako huo.
Kenya pledged last July to deploy up to 1,000 personnel to Haiti, an offer welcomed by the United States and other nations that had ruled out putting their own forces on the ground.
Activist Jerotich Seii who proudly identifies herself as an ‘Active Citizen,’ stood at the forefront, rallying the peaceful protest alongside other distinguished activists like Wanjeri Nderu
Kenya’s sports ministry had said in April it would be closing Nairobi’s two main stadiums and another in Eldoret for renovations to prepare for the 2027 AFCON which Kenya will host jointly with Tanzania and Uganda.
Kukatika kwa mtandao kwa sasa katika Afrika Mashariki kunahusisha kukatwa mara tatu kwa nyaya za chini ya bahari na hitilafu katika mfumo mwingine. Ben Roberts wa Liquid Telecom aliripoti masuala na Mfumo wa Kebo wa Manowari wa Afrika Mashariki (EASSy) na nyaya za Seacom.
Maporomoko hayo yalitokea Jumanne usiku wakati baadhi ya waathiriwa walikuwa wakielekea nyumbani baada ya shughuli za siku walipofunikwa na vifusi ambayo yanasemekana kusababishwa na mvua kubwa ya mafuriko yaliyonyesha katika eneo hilo.
Samia amesema yapo mambo kadhaa yanochangia Waafrika hao kuendelea kutumia nishati isiyo safi ikiwemo gharama kubwa hususani kwa watu waishio vijijini, pia ulimwengu kwa ujumla kutoweka kipaumbele kwenye suala hilo kwa kutoa ufadhili mdogo na watu kutojua fursa za kiuchumi zitokanazo na matumizi ya nishati safi ya kupikia.