Chief of Defence Forces (CDF) General Francis Ogolla dies in chopper crash
President William Ruto said the Kenya Air Force has dispatched an air investigation team to establish the cause of the crash, which took place in Elgeyo Marakwet county,
President William Ruto said the Kenya Air Force has dispatched an air investigation team to establish the cause of the crash, which took place in Elgeyo Marakwet county,
Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es salaam katika makao makuu ya chama hicho Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje bwana John Mrema amesema hatua hiyo ni mwendelezo wa ajenda zao na makubaliano yaliyofanyika katika kikao kilichofanyika mkoani Mtwara maarufu Azimio la Mtwara na kwamba kamwe hawatarudi nyuma.
Madaktari madkatrai nchini Kenya wametishia kuacha kufanya uchunguzi wa maiti na kujaza kujaza fomu za P3 iwapo polisi watahujumu na kuwazuia kufanya maandamano yao.
Wangari Maathai’s unyielding spirit and vision keeps inspiring new generations with her enduring legacy of resilience, bravery, and activism
Dereva huyo anayefahamika kwa majina ya Lukuman Hemed amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Arusha mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo Sheila Mameto huku kesi hiyo ikiahirishwa hadi Aprili 30 mwaka huu, baada ya Mawakili wa upande wa Jamhuri kusema upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.
Kwa mujibu wa Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi, ukanda wa Pwani ndio ulioathirika zaidi ambapo watu 33 kati ya 58 wamefariki katika mkoa wa Morogoro na Pwani.
Dr Nyambura Moremi was suspended alongside the institution’s Quality Assurance Director Jacob Lusekelo
Kiongozi huyo wa ODM ameitaka Serikali kuwalipa wahudumu wa matibabu, kuangalia ada na mishahara ya madaktari wanaoendelea na masomo zaidi na kushughulikia kusitishwa kwa huduma zao bila utaratibu.
Jackline Sekento Lankas is a symbol of strength, passionate about climate justice and unwavering in her support for the rights of girls and individuals with disabilities
Kenya imetangaza Jumatano, Aprili 10, 2024 kuwa siku kuu kuadhimisha Eid-Ul-Fitr.