Mvutano Chadema ni Jitihada au hatari kwa umoja wa chama?
Katika hali hii ya mgawanyiko, kundi linalopinga msimamo wa “No Election” limeandika waraka rasmi ukielezea hoja zao za kupinga kauli hiyo.
All news and updates from Tanzania
Katika hali hii ya mgawanyiko, kundi linalopinga msimamo wa “No Election” limeandika waraka rasmi ukielezea hoja zao za kupinga kauli hiyo.
The students were attempting to deliver a petition outlining concerns about the environmental and human rights impacts of the project, including forced displacement and inadequate compensation for affected communities.
Jumla ya fedha zilizotolewa katika Mkoa wa Mwanza ni shilingi milioni 10 ambapo wamenunuliwa jumla ya mbuzi 12, mchele gunia 12, mafuta ndoo kubwa 12, sukari mifuko 12 na soda katoni 90.
Kondoo wengine tisa wakiwa hawajulikani walipo
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Stephen Wasira amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo hakina hoja ya msingi ya kuzuia Uchaguzi Mkuu mwaka huu kwani kama ni mabadiliko wanayoyazungumza yameshafika tayari.
CAG amesema deni hilo linajumuisha deni la ndani na deni ambalo ni Sh. trilioni 31.95 na la nje Sh.65.40, hata hivyo amesema deni hilo ni himilivu.
Familia ya Daniel Chonchorio, kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye anadaiwa kutoweka Jumapili asubuhi akiwa kwenye mazoezi eneo la Nyakato jijini Mwanza, imejitokeza hadharani kuomba msaada kwa umma ili kumtafuta ndugu yao.
Hoja ya mgawanyo wa majimbo ya Uchaguzi ijadiliwe kwa mapana yake
Viongozi hao walizuiwa kuingia nchini bila maelezo yoyote kutoka kwa mamlaka za Angola.
The incident raises diplomatic and political concerns, particularly as many of those denied entry are opposition leaders in their respective countries.