European Parliament To Hold Emergency Debate On Tundu Lissu’s Case Today
The debate will take place from 13:00 to 22:00 CET
All news and updates from Tanzania
The debate will take place from 13:00 to 22:00 CET
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, imeahirishwa kwa siku 13 hadi Mei 19, 2025, baada ya upande wa Jamhuri kueleza kuwa upelelezi haujakamilika.
A court in Dar es Salaam, Tanzania, has ordered the state to physically present Chadema Chairman Tundu Lissu in court…
Bunge la Ulaya linatarajia kukutana tarehe 7 Mei 2025 kwa ajili ya mjadala wa dharura kuhusu kesi inayomkabili Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, Tundu Lissu.
Lissu ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa alikamatwa tarehe 9 Aprili 2025 majira ya saa za jioni akiwa Ruvuma muda mchache mara baada ya kumaliza mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Mbinga.Usiku huo huo alisafirishwa hadi Dar es Salaam chini ya ulinzi mkali wa maofisa wa polisi na kufikishwa katika kituo cha kati cha Polisi.
The European Parliament’s debate will focus on issues of fundamental freedoms, human rights and democracy in general, under President Samia Suluhu Hassan’s administration, which has faced allegations of undermining democratic freedoms.
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Antiphas Lissu Mwenyekiti wa Chadema na mwanasiasa maarufu wa upinzani, Tundu Antiphas Mughwai Lissu, akiwa…
CHADEMA has condemned the attack, calling it a clear indication of the deteriorating state of civil and political rights in Tanzania.
In 2024, telecoms firm Tigo was heavily accused of helping the government track the location of Tundu Lissu, who was later targeted in a failed assassination attempt.
Tanzania police officers have beefed up Security and mounted roadblocks around all intersections and roads heading to Kisutu Resident Magistrate’s…