Tanzania Mourns the Loss of Dr. Faustine Ndugulile, MP and WHO Regional Director
He was recently appointed as the Regional Director-elect for the World Health Organization (WHO) Africa, a milestone that made history for Tanzania.
All news and updates from Tanzania
He was recently appointed as the Regional Director-elect for the World Health Organization (WHO) Africa, a milestone that made history for Tanzania.
Both Kenya and Tanzania are closely monitoring the situation, with their governments taking steps to ensure transparency and integrity in public infrastructure projects, as well as protecting public resources and maintaining accountability in large-scale development efforts.
Kiongozi Mstaafu wa chama cha ACTwazalendo, Zitto Kabwe akizungumza wakati wa mkutano wa kuwanadi wagombea wa chama hicho katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Kasulu Mjini Mkoani
Besigye, 68, was brought to the General Court Martial in handcuffs and under a heavily armed military escort, his lawyer Erias Lukwago told AFP.
Uchaguzi huu utatoa picha ya hali ya kisiasa nchini Tanzania, hasa kuhusu demokrasia, haki za kisiasa, na uhuru wa vyama vya upinzani.
Kwa mujibu wa taarifa ya TRC iliyotolewa leo idadi hiyo ni mara mbili ya waliosafiri na treni ya zamani ya (MGR), ambayo ilisafirisha jumla ya abiria 400,000 katika kipindi cha mwaka mmoja.
Derick Junior(36), Ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), anayekabiliwa na mashtaka mawili ya kujeruhi katika Club ya 1245 iliyopo Masaki Dar es salaam, leo anatarajiwa kusomewa hoja za awali katika kesi inayomkabili.
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema, kimeilalamikia mamlaka nchini humo kwamba wagombea wake wengi wamekataliwa “kwa njia isiyo ya haki” kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo.
Africa accounted for about 95 percent of the 249 million malaria cases and 608,000 deaths worldwide in 2022, according to the most recent data from the World Health Organization (WHO), which said children under five accounted for 80 percent of deaths in the region.
Haijabainika ni kwa nini jengo hilo liliporomoka lakini walioshuhudia waliambia vyombo vya habari kuwa ujenzi wa kupanua eneo lake la biashara la chinichini ulianza Ijumaa.