• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Tanzania

All news and updates from Tanzania

Toll in Tanzania Building Collapse Rises to 16, Survivors Trapped
Accidents Africa Tanzania

Toll in Tanzania Building Collapse Rises to 16, Survivors Trapped

Wadh KassimNovember 18, 2024

Rescuers worked to reach people still trapped in a collapsed building in Tanzania’s commercial capital Dar es Salaam on Monday, with the death toll rising to 16.

Watanzania wawili wakamatwa Kenya na pembe ya Ndovu
East Africa Kenya Tanzania

Watanzania wawili wakamatwa Kenya na pembe ya Ndovu

Kevin SeweNovember 12, 2024

Polisi nchi Kenya kwa ushirikiano na maafisa wa kulinda wanyama pori KWS wamewakamata washukiwa wawili wakiwa na meno ya tembo.

Upinzani Tanzania walia wagombea wao wameenguliwa kushiriki uchaguzi
Tanzania

Upinzani Tanzania walia wagombea wao wameenguliwa kushiriki uchaguzi

Kevin SeweNovember 11, 2024

cha ACT-Wazalendo kimesema wagombea wake 51,423 wameenguliwa.

Lawrence Mafuru afariki dunia nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu
East Africa People Tanzania

Lawrence Mafuru afariki dunia nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu

Asia GambaNovember 9, 2024

Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Lawrence Nyasebwa Mafuru, amefariki dunia leo Novemba 9,2024 katika Hospitali ya Apollo nchini India.

CCM yataka haki uchaguzi serikali za mitaa, yasema hawahitaji upendeleo
East Africa Politics Tanzania

CCM yataka haki uchaguzi serikali za mitaa, yasema hawahitaji upendeleo

Asia GambaNovember 8, 2024

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, ametoa msisitizo kwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kutenda haki kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Tamisemi yawataka wagombea wasioridhishwa na uteuzi wakaweke pingamizi
East Africa Politics Tanzania

Tamisemi yawataka wagombea wasioridhishwa na uteuzi wakaweke pingamizi

Asia GambaNovember 8, 2024

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa  waweke pingamizi ndani ya siku 2 kuanzia leo tarehe 08 – 09/11/2024.

UTAFITI:Ongezeko la matumizi ya viuatilifu katika kuzalisha mboga za majani nchini chanzo cha magonjwa hatari ikiwemo Saratani
East Africa Food Security Social Issues Tanzania

UTAFITI:Ongezeko la matumizi ya viuatilifu katika kuzalisha mboga za majani nchini chanzo cha magonjwa hatari ikiwemo Saratani

Asia GambaNovember 7, 2024

Matokeo ya utafiti huo uliofanywa katika mikoa yote nchini, yanaonesha matumizi ya viuatilifu kwenye uzalishaji mboga za majani yanachangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la magonjwa yasiyoambukizwa kwa binadamu kama vile saratani, kisukari na matatizo ya uzazi.

Tanzania mbioni kuzalisha madini ya Niobium
East Africa Energy & Mining Tanzania

Tanzania mbioni kuzalisha madini ya Niobium

Asia GambaOctober 31, 2024

Madini ya Niobium hutumika katika mitambo ya uchorongaji katika utafiti na uchakataji wa mafuta, gesi pamoja na utengenezaji wa magari.

Aliyemtishia bastola mwenzake kwenye Club akamatwa na polisi Dar
Crime & Justice East Africa Tanzania

Aliyemtishia bastola mwenzake kwenye Club akamatwa na polisi Dar

Asia GambaOctober 28, 2024October 28, 2024

Taarifa ya Polisi imekuja siku moja baada ya tukio hilo kusambaa katika mitandao ya kijamii ikionesha picha ya mjongeo ambayo inamuonyesha mwanaume mmoja ambaye ametambulika kwa jina la Derick Derick Junior akimpiga mwanaume mwengine hadi kumjeruhi na kisha kumtishia silaa.

Majaliwa:Watanzania tulinde utamaduni wetu kwa faida ya vizazi vijavyo.
Arts & Culture East Africa Tanzania

Majaliwa:Watanzania tulinde utamaduni wetu kwa faida ya vizazi vijavyo.

Asia GambaOctober 28, 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wahakikishe wanalinda utamaduni na kujenga misingi ya kuhamasisha vijana na vizazi vijavyo kutambua na kuenzi historia na urithi wa Mtanzania.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo