Toll in Tanzania Building Collapse Rises to 16, Survivors Trapped
Rescuers worked to reach people still trapped in a collapsed building in Tanzania’s commercial capital Dar es Salaam on Monday, with the death toll rising to 16.
All news and updates from Tanzania
Rescuers worked to reach people still trapped in a collapsed building in Tanzania’s commercial capital Dar es Salaam on Monday, with the death toll rising to 16.
Polisi nchi Kenya kwa ushirikiano na maafisa wa kulinda wanyama pori KWS wamewakamata washukiwa wawili wakiwa na meno ya tembo.
cha ACT-Wazalendo kimesema wagombea wake 51,423 wameenguliwa.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Lawrence Nyasebwa Mafuru, amefariki dunia leo Novemba 9,2024 katika Hospitali ya Apollo nchini India.
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, ametoa msisitizo kwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kutenda haki kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa waweke pingamizi ndani ya siku 2 kuanzia leo tarehe 08 – 09/11/2024.
Matokeo ya utafiti huo uliofanywa katika mikoa yote nchini, yanaonesha matumizi ya viuatilifu kwenye uzalishaji mboga za majani yanachangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la magonjwa yasiyoambukizwa kwa binadamu kama vile saratani, kisukari na matatizo ya uzazi.
Madini ya Niobium hutumika katika mitambo ya uchorongaji katika utafiti na uchakataji wa mafuta, gesi pamoja na utengenezaji wa magari.
Taarifa ya Polisi imekuja siku moja baada ya tukio hilo kusambaa katika mitandao ya kijamii ikionesha picha ya mjongeo ambayo inamuonyesha mwanaume mmoja ambaye ametambulika kwa jina la Derick Derick Junior akimpiga mwanaume mwengine hadi kumjeruhi na kisha kumtishia silaa.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wahakikishe wanalinda utamaduni na kujenga misingi ya kuhamasisha vijana na vizazi vijavyo kutambua na kuenzi historia na urithi wa Mtanzania.