• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Tanzania

All news and updates from Tanzania

HRW:Tanzania yawahamisha maelfu ya Wamasai
East Africa Social Issues Tanzania

HRW:Tanzania yawahamisha maelfu ya Wamasai

Asia GambaJuly 31, 2024August 5, 2024

HRW ilisema iliwahoji karibu watu 100 kati ya Agosti 2022 na Desemba 2023, wakiwemo wanajamii ambao tayari walikuwa wamehamia kijiji cha Msomera huko Handeni na wengine wanaokabiliwa na uhamisho.

Tanzania Evicting Thousands of Maasai, Says Human Rights Watch
East Africa Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Tanzania Evicting Thousands of Maasai, Says Human Rights Watch

Joy CheptooJuly 31, 2024August 5, 2024

Tanzania’s forced relocation of Maasai communities raises serious human rights concerns, says Human Rights Watch

Vita ya Mpina, Bashe, Spika Tulia yazidi kukolea, afungua kesi tatu kuwashtaki
East Africa Politics Tanzania

Vita ya Mpina, Bashe, Spika Tulia yazidi kukolea, afungua kesi tatu kuwashtaki

Asia GambaJuly 30, 2024August 5, 2024

Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina akizungumza baada ya mawakili wake kueleza msingi wa kufungua kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, amesema kuwa zaidi ya mawakili 100 wameahidi kumuunga mkono katika kesi alizozifungua.

BMH yapandikiza Uloto kwa mgonjwa wa Sikoseli mwenye kundi la damu tofauti na mchangiaji
Lifestyle & Health Social Issues Tanzania

BMH yapandikiza Uloto kwa mgonjwa wa Sikoseli mwenye kundi la damu tofauti na mchangiaji

Asia GambaJuly 30, 2024August 7, 2024

Utaalam huu unaojulikana kama Bone Marrow Manipulation- RBC Depletion ni utaalam unaofanywa na mashine maalum ( Apheresis machine) kwa kuchuja na kuchukua Uloto ulio kusudiwa kisha kumwekea mgonjwa ( kumpandikiza) uloto uliobakia. 

Tanzania Agrees to Pay Tsh237 Billion to Settle Dispute with Australian Miner
Business / Finance East Africa Tanzania

Tanzania Agrees to Pay Tsh237 Billion to Settle Dispute with Australian Miner

Joy CheptooJuly 29, 2024August 5, 2024

This agreement not only ends a lengthy dispute but also saves both Tanzania and Indiana Resources considerable time and costs associated with further legal battles.

Masauni: Sativa hatoi ushirikiano mzuri kwa Polisi
Crime & Justice Tanzania

Masauni: Sativa hatoi ushirikiano mzuri kwa Polisi

Asia GambaJuly 29, 2024August 7, 2024

Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, amesema kumekuwa na ushirikiano mdogo kwa waathiriwa wa utekaji pindi wanapohitajika na Jeshi la Polisi kwa ajili ya kutoa ushirikiano utakaofanikisha upelelezi.

Mtalii mmoja mwenye asili ya China afariki kwa ajali katika Hifadhi ya Serengeti
Social Issues Tanzania

Mtalii mmoja mwenye asili ya China afariki kwa ajali katika Hifadhi ya Serengeti

Asia GambaJuly 29, 2024August 7, 2024

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa) leo Julai 29, 2024 gari hiyo ilikuwa na watalii saba wenye asili ya China na dereva raia wa Tanzania

Tanzanian Activist & Lawyer Boniface Mwabukusi Wins Appeal, to Run for TLS Presidency
Crime & Justice East Africa Tanzania

Tanzanian Activist & Lawyer Boniface Mwabukusi Wins Appeal, to Run for TLS Presidency

Joy CheptooJuly 26, 2024August 7, 2024

In an exciting turn of events, Boniface Mwabukusi, a prominent Tanzanian lawyer and activist, has won his appeal against the…

Wakili Boniface Mwabukusi ashinda rufaa, kuwania urais TLS
Crime & Justice Politics Tanzania

Wakili Boniface Mwabukusi ashinda rufaa, kuwania urais TLS

Kevin SeweJuly 26, 2024August 7, 2024

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kesi iliyokuwa imefunguliwa na Wakili wa kujitegemea Boniface…

IGP, RPC Tanga washtakiwa sakata la Kombo Mbwana
Crime & Justice Tanzania

IGP, RPC Tanga washtakiwa sakata la Kombo Mbwana

Asia GambaJuly 24, 2024August 7, 2024

Mawakili tisa wanaomwakilisha kada wa Chadema, Kombo Mbwana wamefungua kesi dhidi ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Camilius Wambura na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi, wakiomba mteja wao aachiliwe huru na alipwe fidia.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo