Je, kama mzazi upo tayari mwanao ajiunge na mtandao mpya wa Instagram kids?
Mipango yakuanzisha mtandao wa Instagram hususan kwa watoto waliochini ya umri wa miaka 13 kwa jina Instagram Kids umesitishwa kwa sasa.
Mipango yakuanzisha mtandao wa Instagram hususan kwa watoto waliochini ya umri wa miaka 13 kwa jina Instagram Kids umesitishwa kwa sasa.
Nyota wa muziki kutoka Marekani,Robert Kelly maarufu R.Kelly amepatikana na hatia ya kutumia umaarufu wake katika kuongoza mradi wa unyanyasaji wa ngono dhidi ya wanawake na watoto kwa takriban miaka 30.
Burna Boy alishinda tuzo ya “Best World Music Album” mwaka wa 2021 katika tuzo za 63 Annual Grammy Awards
Somalia’s National Theatre hosts its first screening in 30 years
Somalia imeonyesha filamu yake ya kwanza baada ya miaka 30 chini ya ulinzi mkali Jumatano 22 nchi hiyo ikiwa na…
Pacha wawili kutoka Japan wamethibitishwa na Guiness World Records kuwa pacha wazee zaidi duniani wakiwa na umri wa miaka 107 na siku 300.
Kuna jamii tofauti duniani ambazo bado zimeshikilia tamaduni zao, na wanawake katika jamii hizo bado hujipodoa na kuvaa vito vya kitamaduni, mfano jamii za wamasaai, Turkana na Mijikenda nchini Kenya, jamii ya Mursi nchini Ethiopia na jamii ya Himba nchini Namibia