Kesi ya kusambaza picha za utupu yamuweka pabaya Mwijaku
Katika kesi hiyo inadaiwa, kati ya Septemba 17, 2019 na Oktoba 2019 jijini Dar Es salaam Mwijaku kwa kutumia mtandao wa Whatsupp alisambaza picha za utupu mtandaoni.
Katika kesi hiyo inadaiwa, kati ya Septemba 17, 2019 na Oktoba 2019 jijini Dar Es salaam Mwijaku kwa kutumia mtandao wa Whatsupp alisambaza picha za utupu mtandaoni.
TikTok says only accounts with at least 100,000 subscribers will be eligible for the first phase of the program.
Netflix anticipates a much larger drop in the current quarter of around two million net subscribers.
Wazabuni saba walishindania vazi hilo katika mnada ulioanza Aprili 20 na kumalizika Jumatano asubuhi, Sotheby’s ilisema.
Wanaharakati wa kiraia wana wasiwasi kwamba Musk,atawaruhusu watu wenye msimamo mkali waliopigwa marufuku kurudi kwenye jukwaa hilo.
Depp filed a defamation suit against Heard over a column she wrote for The Washington Post in December 2018 in which she described herself as a “public figure representing domestic abuse.”
Jeffrey Craigen alichapisha video akicheza Haka, akiwa uchi juu ya Mlima Batur, mlima unaochukuliwa kuwa takatifu na Wabalinese wengi.
Ni kawaida kwa mtandao wa Youtube kufungia Channel zilizoripotiwa kudukuliwa, Youtube huzifuta channel zilizoripotiwa kudukuliwa hadi wanafanye uhakiki wa mmiliki halali wa channel hiyo.
Mayers was reportedly returning by private jet from Rihanna’s home island of Barbados when he was arrested.
Msanii mwenzake, Frank Edwards, alidai kwamba mwimbaji huyo alikuwa na mume mkatili ambaye alimpiga mara kwa mara kabla ya kifo chake.