Umetafuta kazi umekosa jaribu hizi ambazo hazihitaji shahada ya chuo
Zipo kazi ambazo unaweza kufanya bila kuhitaji stakabadhi za chuo kikuu au kuhitaji tajriba ya miaka mingi.
Zipo kazi ambazo unaweza kufanya bila kuhitaji stakabadhi za chuo kikuu au kuhitaji tajriba ya miaka mingi.
Kulingana na wanahistoria, Mansa Musa bado ndio mtu tajiri zaidi aliyewahi kuishi,thamani yake kwa viwango vya fedha vya sasa ni dola bilioni 400.
Maafisa wa udhibiti wa muziki Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) walikuwa wamepiga marufuku nyimbo mbili zinazomshambulia Rais Felix Tshisekedi. Kufikia Jumatano jioni maafisa wa udhibiti wa muziki walikuwa wameondoa marufuku kwa wimbo mmoja “Nini Tosali Te” (kwa lugha ya lingala, ‘’Ni kipi hatukufanya’)
Kwa kawaida katika mataifa mengi duniani, ndoa zilizozoeleka ni ndoa kati ya mume mmoja ma mke mmoja. Katika tamaduni ya…
Mara nyingi kampuni zinazotoa huduma za mtandao haziwezi kukataa maagizo ya serikali zao kubana au kuzima mitandao.
Mark Zuckerberg, aliyeanzisha Facebook mwaka wa 2004, alitangaza Alhamis jina jipya la Facebook
Tuzo za Oscars awamu ya 94 zitafanyika Machi 2022 nchini Amerika.
The Festival has been running for more than 50 years – and represents a rare opportunity for storytellers to showcase their creations on a global stage.
Squid Game — a fictional drama from South Korea — is Netflix’s “biggest-ever series at launch,” the streaming company said earlier this week.
Nyota wa kandanda Lionel Messi, Jorginho na N’Golo Kante wametajwa katika orodha ya wachezaji wengine 30 watakaowania tuzo ya Ballon d’Or 2021.