• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Environment

Rwanda yaonya kuhusu ‘mauaji ya kimbari’ mashariki mwa DRC
Africa East Africa Environment People

Rwanda yaonya kuhusu ‘mauaji ya kimbari’ mashariki mwa DRC

Mwanzo EditorMarch 24, 2023March 24, 2023

Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda Vincent Biruta amesema kwamba nchi yake inahofu kuhusu uwezekano wauliopo wa “mauaji ya…

Kimbunga Freddy: Zaidi ya 400 bado hawajulikani walipo nchini Malawi
Africa Nature People

Kimbunga Freddy: Zaidi ya 400 bado hawajulikani walipo nchini Malawi

Mwanzo EditorMarch 21, 2023March 21, 2023

Mamlaka nchini Malawi zinasema idadi ya watu ambao bado hawajulikani walipo kufuatia Kimbunga Freddy imeongezeka kutoka 349 hadi 427, huku…

Maelfu ya watu wanawakimbia waasi wa Kiislamu nchini DR Congo
Africa Environment People

Maelfu ya watu wanawakimbia waasi wa Kiislamu nchini DR Congo

Mwanzo EditorMarch 17, 2023March 17, 2023

Wanatoroka mfululizo wa mashambulizi ya waasi wa Kiislamu wa Allied Democratic Forces (ADF) katika jimbo hilo.

Bob Junior: Simba ambaye alikuwa ‘mfalme’ wa Serengeti auawa na wapinzani
East Africa Nature

Bob Junior: Simba ambaye alikuwa ‘mfalme’ wa Serengeti auawa na wapinzani

Joy CheptooMarch 16, 2023March 16, 2023

Serengeti kaskazini mwa Tanzania ni nyumbani kwa simba takriban 3,000, na ni maarufu kwa watalii wa ndani na nje ya nchi

Kimbunga Freddy: Rais wa Malawi atangaza maombolezo ya kitaifa ya siku 14
Africa International Nature People

Kimbunga Freddy: Rais wa Malawi atangaza maombolezo ya kitaifa ya siku 14

Joan WafulaMarch 16, 2023March 16, 2023

Rais wa Malawi Lazarus Chakwera ametangaza siku kumi na nne za maombolezo ya kitaifa baada ya zaidi ya watu mia mbili ishirini kufariki dunia

Kenya yapiga marufuku wafugaji kubeba silaha
Africa East Africa Environment People

Kenya yapiga marufuku wafugaji kubeba silaha

Mwanzo EditorFebruary 27, 2023February 27, 2023

Rais wa Kenya William Ruto alisema jana kuwa wafugaji wa kaskazini hawataruhusiwa tena kubeba silaha wakati wanachunga ng’ombe wao huku kukiwa na operesheni ya kuwapokonya silaha.

Jill Biden amesema Pembe ya Afrika inahitaji misaada zaidi kukabiliana na ukame
East Africa Environment People

Jill Biden amesema Pembe ya Afrika inahitaji misaada zaidi kukabiliana na ukame

Joy CheptooFebruary 27, 2023February 27, 2023

Biden alitoa wito wa kuangaziwa zaidi juu ya ukame uliovunja rekodi ambao unatishia watu milioni 22 nchini Kenya, Somalia na Ethiopia na njaa

Earthquake kills more than 4,800 in Turkey, Syria
Middle East Nature People

Earthquake kills more than 4,800 in Turkey, Syria

Mwanzo EditorFebruary 7, 2023February 7, 2023

The first massive 7.8-magnitude quake struck early Monday

Climate change fuelling cholera surge: WHO
Lifestyle & Health Nature

Climate change fuelling cholera surge: WHO

Mwanzo EditorDecember 16, 2022

The situation was compounded by vaccine shortages and will only worsen unless it is stamped out soon

Mafuriko yaua zaidi ya 120 huko Kinshasa
Africa Environment People

Mafuriko yaua zaidi ya 120 huko Kinshasa

Joy CheptooDecember 14, 2022December 14, 2022

Zaidi ya watu 120 waliuawa Jumanne wakati mafuriko mabaya zaidi kuwahi kutokea katika miaka mingi yalikumba mji mkuu wa Kinshasa DR Congo kufuatia mvua iliyonyesha usiku kucha

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy