DR Congo yatangaza kumalizika kwa mlipuko wa hivi karibuni wa Ebola
Ni kisa kimoja tu cha virusi kilichothibitishwa, kulingana na taarifa ya Shirika la Afya Duniani, na kufanya mlipuko wa Ebola nchini Congo kuwa “janga kidogo”.
Ni kisa kimoja tu cha virusi kilichothibitishwa, kulingana na taarifa ya Shirika la Afya Duniani, na kufanya mlipuko wa Ebola nchini Congo kuwa “janga kidogo”.
Takriban watu 11, wakiwemo polisi wanane na chifu wa eneo hilo, wameuawa kaskazini mwa Kenya na wezi wa mifugo
Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) imemrejesha nchini Marekani Abdi Husein ili kujibu mashtaka ya uhalifu yanayohusisha ulanguzi wa dawa za kulevya na ujangili wa wanyamapori.
Scientists in Zimbabwe have discovered the remains of Africa’s oldest dinosaur, which roamed the earth around 230 million years ago.
Tanzania has installed high-speed internet services on the slopes of Mount Kilimanjaro, allowing anyone with a smartphone to tweet, Instagram or WhatsApp their ascent up the mountain
Two women died in forest fires in a region of northern Morocco that had already been ravaged by wildfires this…
Kenya ni nyumbani kwa spishi tatu ndogo za twiga, Maasai, reticutated na Rothschild.
Simba sita waliuliwa baada ya kutoroka kutoka kwa mbuga ya wanyama ya Afrika Kusini na kuwatia hofu watu wanaoishi karibu,
Kituo cha Utafiti cha Pamoja cha Tume ya Ulaya kilisema kuwa asilimia 46 ya eneo la Umoja wa Ulaya limekabiliwa na ukame wa kiwango cha juu, huku asilimia 11 ikiwa katika kiwango cha tahadhari
Afisa wa polisi kutoka mashariki mwa DR Congo amezuiliwa kwa madai ya uwindaji haramu baada ya wenyeji kusikia kilio cha mtoto wa tumbili kutoka kwenye begi lake