Ethiopia yafanya mkutano wa kwanza wa kamati ya amani
Bodi maalum iliyoteuliwa na serikali ya Ethiopia kuangalia uwezekano wa mazungumzo ya amani na waasi wa Tigray imefanya mkutano wake wa kwanza, msaidizi mkuu wa Waziri Mkuu Abiy Ahmed alisema
Bodi maalum iliyoteuliwa na serikali ya Ethiopia kuangalia uwezekano wa mazungumzo ya amani na waasi wa Tigray imefanya mkutano wake wa kwanza, msaidizi mkuu wa Waziri Mkuu Abiy Ahmed alisema
Utafiti wa hivi punde zaidi wa Infotrak unaonyesha kuwa Naibu Rais William Ruto anaungwa mkono kwa wingi katika eneo la Mlima Kenya.
Twitter ilimshtaki Elon Musk kwa kukiuka mkataba wa dola bilioni 44 aliotia saini ili kununua kampuni hiyo ya kiteknolojia
Mwanariadha mwenye kasi zaidi barani Afrika Ferdinand Omanyala ni mwingi wa wasiwasi huku, akisubiri visa ya Marekani ili aweze kushiriki Mashindano ya Riadha ya Dunia.
Rais wa Sri Lanka aliondoka nchini mwake kwenda Maldives mapema Jumatano baada ya miezi kadhaa ya maandamano kupinga mzozo mbaya zaidi wa kiuchumi wa taifa lake
Ivory Coast inaitaka Mali kuwaachilia huru wanajeshi wake 49 waliozuiliwa katika uwanja wa ndege wa Bamako na kushutumiwa na maafisa kuwa mamluki.
Marriot alisema kuwa taifa lake halitaegemea upande wowote na halina ajenda ila kusaidia kuhakikisha watu wa Kenya wanakuwa na uchaguzi wenye mafanikio.
Huku kukiwa zimesalia wiki tatu tu kabla ya Uchaguzi Mkuu utakaoashiria mwisho wa muhula wake, Rais Kenyatta amefanya uteuzi wa watu 142 katika bodi za mashirika mbalimbali ya serikali.
Polisi wamewakamata watu wawili kuhusiana na moja kati ya matukio mawili ya ufyatuaji risasi kwenye baa ambayo yalisababisha vifo vya watu 19,
Afisa wa polisi kutoka mashariki mwa DR Congo amezuiliwa kwa madai ya uwindaji haramu baada ya wenyeji kusikia kilio cha mtoto wa tumbili kutoka kwenye begi lake