• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Features

Nigeria: Wasichana wawili wa Chibok waliotekwa nyara waachiliwa huru miaka minane baadae
Africa Features Politics

Nigeria: Wasichana wawili wa Chibok waliotekwa nyara waachiliwa huru miaka minane baadae

Maureen MedzaJune 22, 2022June 22, 2022

Makumi ya wanamgambo wa Boko Haram walivamia shule ya bweni ya wasichana ya Chibok mwaka 2014 na kuwapakia wanafunzi 276, wenye umri wa miaka 12-17, wakati huo kwenye lori katika tukio la kwanza la utekaji nyara wa shule ya halaiki ya kundi hilo la kijihadi.

Rais wa Malawi amvua mamlaka naibu wake kwa kuhusika na ufisadi
Africa Features People Politics

Rais wa Malawi amvua mamlaka naibu wake kwa kuhusika na ufisadi

Maureen MedzaJune 22, 2022June 22, 2022

Kwa mujibu wa katiba ya Malawi, Chakwera hawezi kumsimamisha au kumwondoa Chilima kwa sababu ni afisa aliyechaguliwa na raia

Kasisi wa Chile ahukumiwa kifungo cha miaka 15 kwa kuwadhulumu watoto
Features International

Kasisi wa Chile ahukumiwa kifungo cha miaka 15 kwa kuwadhulumu watoto

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Kasisi aliyefukuzwa kazi na aliyewahi kushika nyadhifa za juu katika Kanisa Katoliki nchini Chile alihukumiwa kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la kubaka na kuwadhalilisha watoto kingono

EU yaahidi kutoa euro milioni 600 kwa Afrika, kukabiliana na uhaba wa chakula
Africa Features

EU yaahidi kutoa euro milioni 600 kwa Afrika, kukabiliana na uhaba wa chakula

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Umoja wa Ulaya Jumanne uliahidi kuongeza euro milioni 600 kusaidia mataifa yaliyo hatarini kukabiliana na mzozo wa usalama wa chakula uliozidishwa na vita vya Urusi dhidi ya Ukraine.

Wakenya wapo tayari kuuza figo kukabiliana na hali ngumu ya maisha
Features Lifestyle & Health

Wakenya wapo tayari kuuza figo kukabiliana na hali ngumu ya maisha

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Hospitali kuu ya umma nchini Kenya inasema kumekuwa na ongezeko la idadi ya watu wanajitolea kuuza figo zao.

Viongozi wa Afrika Mashariki wakubaliana kuwepo kwa jeshi la kikanda DR Congo
East Africa Features People Politics

Viongozi wa Afrika Mashariki wakubaliana kuwepo kwa jeshi la kikanda DR Congo

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Viongozi wa Afrika Mashariki walikubaliana Jumatatu kutuma kikosi cha kikanda kujaribu kumaliza mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na kutoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano.

Kenya yaandikisha idadi ndogo ya vijana katika kura za mwezi Agosti
East Africa Features Politics

Kenya yaandikisha idadi ndogo ya vijana katika kura za mwezi Agosti

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Idadi ya wapiga kura vijana waliojiandikisha katika uchaguzi wa Agosti nchini Kenya imepungua tangu uchaguzi uliopita miaka mitano iliyopita, tume ya uchaguzi IEBC

DR Congo: Ubelgiji imerudisha jino la Patrice Lumumba kwa familia yake
Africa Features Politics

DR Congo: Ubelgiji imerudisha jino la Patrice Lumumba kwa familia yake

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Mkosoaji mkali wa utawala wa kikatili wa Ubelgiji, Lumumba alikua waziri mkuu wa kwanza wa nchi yake baada ya DR Congo kupata uhuru wake mwaka 1960.

Watu wenye silaha wameua takriban raia 20 nchini Mali
Africa Features Politics

Watu wenye silaha wameua takriban raia 20 nchini Mali

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Afisa mmoja wa eneo hilo alilaumu mashambulizi hayo kwa wanajihadi na kusema idadi ya waliouawa walikuwa 24, akisema mauaji hayo yalitokea Ebak, takriban kilomita 35 kaskazini mwa Gao, mji mkuu wa mkoa huo.

Wazalishaji wa miraa nchini Kenya wana hamu ya kuanza tena mauzo ya nje kwenda Somalia
Business / Finance East Africa Features Politics

Wazalishaji wa miraa nchini Kenya wana hamu ya kuanza tena mauzo ya nje kwenda Somalia

Maureen MedzaJune 20, 2022June 20, 2022

Somalia imekuwa soko muhimu la uuzaji wa nje wa miraa nchini Kenya tangu Uholanzi na Uingereza zilipoweka marufuku mwaka wa 2012 na 2014 mtawalia

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo