Kenya: Kilio zaidi huku bei ya petroli, dizeli na mafuta taa ikipanda kwa Ksh.9 kwa lita
Mamlaka ya udhibiti wa nishati na petroli (EPRA) Jumanne ilitangaza kupanda kwa bei ya mafuta kwa KSh9 kwa lita.
Mamlaka ya udhibiti wa nishati na petroli (EPRA) Jumanne ilitangaza kupanda kwa bei ya mafuta kwa KSh9 kwa lita.
Mashambulizi yalitokea katika jimbo lenye utajiri wa gesi la Cabo Delgado, ambapo wanajihadi walianzisha uasi wa umwagaji damu mwaka 2017
Safari ya kwanza ya ndege ilipaswa kuondoka Uingereza kuelekea Rwanda Jumanne jioni lakini ilikatishwa baada ya uamuzi wa dakika za mwisho wa Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu.
Mapigano hayo yalianza kama mzozo wa ardhi kati ya watu wawili, mmoja kutoka Rizeigat na mwingine kutoka Gimir, kabla ya kuongezeka kwa ghasia zilizohusisha watu wengine wa makabila hayo mawili.
Nchi hiyo imekuwa chini ya uasi wa wanajihadi kwa miaka saba ambao wamesababisha mauaji ya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban watu milioni 1.9 kuondoka makwao.
Kabuga mwenye umri wa maika 87, anadaiwa kuwa mfadhili wa mauaji ya halaiki ya mwaka 1994 yaliyosababisha vifo vya watu 800,000 hasa Watutsi
Wapiganaji wa kundi la waasi la M23 waliuteka mji wa Bunagana mashariki mwa jimbo la Kivu Kaskazini
Jaji Mkuu Martha Koome anamtaka Rais Uhuru Kenyatta ang’olewe madarakani kwa kukosa kuwateua majaji sita waliopendekezwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC).
Kulingana na Taasisi ya Kitaifa ya Afya ya Marekani (NIH), karibu mtu mmoja kati ya 20,000 huzaliwa na ualbino, ambayo inaweza kuwa sawa na watu 400,000 kati ya watu bilioni 7.9 duniani.
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imelaumu kuzuka upya kwa ghasia za hivi karibuni za M23 kwa nchi jirani ya Rwanda, na kusababisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili kudorora.