• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Features

Utapiamlo wa watoto waongezeka nchini Ethiopia huku ukame ukizidi kuwa mbaya
Africa Features Lifestyle & Health

Utapiamlo wa watoto waongezeka nchini Ethiopia huku ukame ukizidi kuwa mbaya

Maureen MedzaJune 16, 2022June 16, 2022

Misimu minne mfululizo ya mvua haikunyesha katika eneo la Pembe ya Afrika, huku ya tano ikitarajiwa pia kuwa mbaya, na kusababisha ukame mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka 40 na mzozo mkubwa wa njaa unaohusisha Kenya, Somalia na Ethiopia.

Rais wa Kenya ahimiza kutumwa kwa jeshi la kikanda nchini DR Congo
East Africa Features Politics

Rais wa Kenya ahimiza kutumwa kwa jeshi la kikanda nchini DR Congo

Maureen MedzaJune 16, 2022June 16, 2022

Wiki kadhaa za ghasia zimezua mzozo wa kidiplomasia kati ya DRC na jirani yake Rwanda, ambayo inalaumu kwa kuibuka upya kwa wanamgambo wa waasi wa M23.

WHO: Ulaya ‘kitovu’ cha mlipuko wa Monkeypox
Europe Features Lifestyle & Health

WHO: Ulaya ‘kitovu’ cha mlipuko wa Monkeypox

Maureen MedzaJune 15, 2022June 15, 2022

Shirika la Afya Duniani (WHO) lilisema Jumatano Ulaya inasalia kuwa kitovu cha mlipuko wa Monkeypox duniani, huku visa zaidi ya 1,500 vikiripotiwa katika eneo hilo.

Kenya: Kilio zaidi huku bei ya petroli, dizeli na mafuta taa ikipanda kwa Ksh.9 kwa lita
Business / Finance Features

Kenya: Kilio zaidi huku bei ya petroli, dizeli na mafuta taa ikipanda kwa Ksh.9 kwa lita

Maureen MedzaJune 15, 2022June 15, 2022

Mamlaka ya udhibiti wa nishati na petroli (EPRA) Jumanne ilitangaza kupanda kwa bei ya mafuta kwa KSh9 kwa lita.

Msumbiji: Maelfu ya watu wakimbia makazi yao huku mashambulizi ya wanajihadi yakianza tena
Africa Features

Msumbiji: Maelfu ya watu wakimbia makazi yao huku mashambulizi ya wanajihadi yakianza tena

Maureen MedzaJune 15, 2022June 15, 2022

Mashambulizi yalitokea katika jimbo lenye utajiri wa gesi la Cabo Delgado, ambapo wanajihadi walianzisha uasi wa umwagaji damu mwaka 2017

Rwanda inasema haijavunjika moyo baada ya ndege ya watafuta hifadhi ya Uingereza kufutiliwa mbali
Africa Features Politics

Rwanda inasema haijavunjika moyo baada ya ndege ya watafuta hifadhi ya Uingereza kufutiliwa mbali

Maureen MedzaJune 15, 2022June 15, 2022

Safari ya kwanza ya ndege ilipaswa kuondoka Uingereza kuelekea Rwanda Jumanne jioni lakini ilikatishwa baada ya uamuzi wa dakika za mwisho wa Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu.

UN: Idadi ya waliofariki kutokana na mapigano katika jimbo la Darfur Sudan yaongezeka hadi 125
Africa Features

UN: Idadi ya waliofariki kutokana na mapigano katika jimbo la Darfur Sudan yaongezeka hadi 125

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Mapigano hayo yalianza kama mzozo wa ardhi kati ya watu wawili, mmoja kutoka Rizeigat na mwingine kutoka Gimir, kabla ya kuongezeka kwa ghasia zilizohusisha watu wengine wa makabila hayo mawili.

Burkina Faso: Idadi ya vifo kutokana na shambulio la kijihadi yaongezeka hadi 79
Africa Features People Politics

Burkina Faso: Idadi ya vifo kutokana na shambulio la kijihadi yaongezeka hadi 79

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Nchi hiyo imekuwa chini ya uasi wa wanajihadi kwa miaka saba ambao wamesababisha mauaji ya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban watu milioni 1.9 kuondoka makwao.

Rwanda: Manusura wa mauaji ya halaiki wapongeza uamuzi wa UN wa kumfungulia Kabuga mashtaka
Africa Features People Politics

Rwanda: Manusura wa mauaji ya halaiki wapongeza uamuzi wa UN wa kumfungulia Kabuga mashtaka

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Kabuga mwenye umri wa maika 87, anadaiwa kuwa mfadhili wa mauaji ya halaiki ya mwaka 1994 yaliyosababisha vifo vya watu 800,000 hasa Watutsi

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa ‘uvamizi’ huku waasi wakiuteka mji
Africa Features Politics

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa ‘uvamizi’ huku waasi wakiuteka mji

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Wapiganaji wa kundi la waasi la M23 waliuteka mji wa Bunagana mashariki mwa jimbo la Kivu Kaskazini

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo