• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Features

Waziri wa afya wa Senegal afutwa kazi baada ya ajali ya moto hospitalini kusababisha vifo vya watoto wachanga 11
Africa Features

Waziri wa afya wa Senegal afutwa kazi baada ya ajali ya moto hospitalini kusababisha vifo vya watoto wachanga 11

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Rais wa Senegal Macky Sall amemfuta kazi waziri wake wa afya siku ya Alhamisi nchi hiyo ikiomboleza kifo cha watoto 11 katika moto uliosababishwa na hitilafu ya umeme hospitalini

Biden atia saini agizo kuu la kutunga mageuzi katika idara ya polisi kwenye kumbukumbu ya mwaka wa pili wa kifo cha George Floyd
Features International Politics

Biden atia saini agizo kuu la kutunga mageuzi katika idara ya polisi kwenye kumbukumbu ya mwaka wa pili wa kifo cha George Floyd

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Rais Joe Biden ameadhimisha kumbukumbu ya mwaka wa pili wa mauaji ya George Floyd kwa kutia saini agizo kuu la kutunga mageuzi katika idara ya polisi

Uhuru, Ruto wakaa mbali mbali katika mkutano  wa maombi ya kitaifa
East Africa Features People Politics

Uhuru, Ruto wakaa mbali mbali katika mkutano wa maombi ya kitaifa

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Safari Park jijini Nairobi, Uhuru na Ruto walikaa kwa utulivu kila mmoja akishiriki kwenye meza yake tofauti.

Wazima moto wafaulu kudhibiti moto katika bandari ya Red Sea nchini Sudan
Africa Features

Wazima moto wafaulu kudhibiti moto katika bandari ya Red Sea nchini Sudan

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Moto huo ulioenea kwa kasi kwa saa kadhaa, ulizuka katika eneo la kushusha mizigo kwenye bandari siku ya Jumatano.

Takriban watu watatu wakatwa vichwa katika mashambulizi Msumbiji
Africa Features Politics

Takriban watu watatu wakatwa vichwa katika mashambulizi Msumbiji

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Takriban watu watatu wamekatwa vichwa kutokana na kuzuka upya kwa ghasia za Kiislamu kaskazini mwa Msumbiji, polisi walisema Jumatano. “Ijumaa…

“Ondoka barani Afrika,” waandamanaji mjini Pretoria waiambia Ufaransa
Africa Features People Politics

“Ondoka barani Afrika,” waandamanaji mjini Pretoria waiambia Ufaransa

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Waandamanaji kutoka chama cha EFF Afrika Kusini waliandamana Jumatano hadi kwenye ubalozi wa Ufaransa mjini Pretoria kuitaka Ufaransa iondoke Afrika.

Senegal: Watoto 11 wafariki katika ajali ya moto hospitalini
Africa Features Lifestyle & Health

Senegal: Watoto 11 wafariki katika ajali ya moto hospitalini

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Mkasa huo ulitokea katika Hospitali ya Mame Abdou Aziz Sy Dabakh mjini Tivaouane, na ulisababishwa na hililafu ya umeme kulingana na mwanasiasa Diop Sy.

Amerika: Watoto 19 na walimu wawili wauawa kwenye shambulio
Features International

Amerika: Watoto 19 na walimu wawili wauawa kwenye shambulio

Maureen MedzaMay 25, 2022May 26, 2022

Mshambuliaji Salvador Ramos aliua watu 21 katika darasa moja

Mapigano yazuka karibu na mji wa Goma mashariki mwa DR Congo
Africa Features Politics

Mapigano yazuka karibu na mji wa Goma mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMay 25, 2022May 25, 2022

Wanamgambo wa M23 waliibuka kutoka kwa uasi wa Watutsi wa Congo mwaka wa 2013 ambao uliungwa mkono na nchi jirani za Rwanda na Uganda wakati huo.

Kenya na Zimbabwe zaondolewa katika mchujo wa kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika 2023
Africa Features Football Sports

Kenya na Zimbabwe zaondolewa katika mchujo wa kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika 2023

Maureen MedzaMay 24, 2022May 24, 2022

Michuano ya kufuzu itaanza siku ya kwanza ya Juni 2022

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy