Category: Football
Maelezo muhimu kuhusu timu za Afrika zilizofuzu kwa Kombe la Dunia Qatar 2022
Hili ni Kombe la Dunia la kwanza kufanyika Mashariki ya Kati na litaanza Novemba 21 na fainali inatarajiwa kufanyika Desemba 18.
Misri yawasilisha malalamiko kuhusu tabia ya mashabiki baada ya kupoteza mechi yao na Senegal
Siku ya Jumanne, Pharoahs wa Misri walikosa nafasi ya kucheza Kombe la Dunia nchini Qatar baada ya kushindwa na Senegal katika Uwanja wa michezo wa Diamniadio huko Dakar.
Vurugu na ghasia baada ya Nigeria kushindwa kufuzu kwa Kombe la Dunia 2022
Ghana ilibandua nje wenyeji kwa kulazimisha sare ya 1-1 na kushinda mchezo wa hatua ya muondoano na kuondoa matumaini ya Nigeria ya kucheza Kombe la Dunia baadaye mwaka huu.
Mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich adaiwa kuwekewa sumu katika mazungumzo ya amani
Bilionea huyo alionyesha dalili zikiwemo macho mekundu na kuchubuka ngozi baada ya mazungumzo ya amani mjini Kyiv.
Watu 160 wakamatwa huku polisi wakijeruhiwa katika vurugu za soka nchini Morocco
Vurugu hizo zilitokea mwishoni mwa mchezo wa Kombe la Throne Cup kati ya AS FAR, klabu ya Wanajeshi wa Morocco yenye makao yake mjini Rabat, na Maghreb de Fez (MAS).
Roman Abramovich: Bilionea mmiliki wa Chelsea ahangaika kuokoa himaya yake
Uamuzi wa serikali ya Uingereza kufungia mali yake unalemaza shughuli za Klabu ya Soka ya Chelsea, kiungo muhimu cha utajiri wa Abramovich, na kutoa pigo lingine kubwa kwa biashara yake.
Roman Abramovich kuuza Chelsea na fedha kuwanufaisha waathiriwa wa vita Ukraine
Alitangaza kuuzwa kwa klabu hiyo saa moja kabla ya mechi ya raundi ya tano ya Kombe la FA kati ya Chelsea na Luton, ambapo The Blues walishinda 3-2.
Rigobert Song kuteuliwa kuwa kocha wa Cameroon kwa amri ya rais wa taifa hilo
Waziri wa michezo Narcisse Mouelle Kombi alisema Rais wa Cameroon Paul Biya ameamuru shirikisho la soka la kitaifa kumpa kazi mlinzi huyo wa zamani wa Liverpool.
Russia expelled from the 2022 World Cup
The men’s team had been due to play in qualifying play-offs in March for the World Cup in Qatar later this year.