Nakuru county makes history as multiple women appointed to occupy leadership positions
Top leadership positions in the county have been dominated by women, resulting in sheer excitement across the country.
Top leadership positions in the county have been dominated by women, resulting in sheer excitement across the country.
Kenyan women have endured violence including rape, with female candidates subjected to a barrage of online abuse as the country…
Mohamed Adel alipatikana na hatia mwezi uliopita kwa ‘mauaji ya kukusudia’ ya Nayera Ashraf, mwanafunzi mwenzake wa chuo kikuu ambaye alikataa kuwa katika uhusiano nae.
Mara ya mwisho kwa mwanamke kuhukumiwa kifo kwa kupigwa mawe kwa kosa la uzinzi nchini Sudan ilikuwa mwaka wa 2013
Esther Passaris, the Nairobi County women’s representative in parliament, declared: “Pregnant women in Kenya are allowed to leave the house. Pregnant women in Kenya can vote.”
Emmanuel Ibrahim Rotich alikamatwa baada ya msako mkali wa usiku wa manane siku moja baada ya mwili wa Tirop kupatikana ukiwa na majeraha ya kuchomwa kisu, na amekuwa kizuizini tangu wakati huo.
Mwimbaji wa RnB kutoka Marekani R. Kelly amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kutumia hadhi yake kuendesha mpango wa kuwadhalilisha kingono watoto na wanawake.
KSh70 milioni zimetengwa kujenga makazi salama nchini Saudi Arabia ambako wafanyakazi kutoka kenya wamepitia mateso ya kiakili na kimwili na ukiukaji wa haki zao.
Mahakama ya Misri ilimhukumu kifo mwanamume mmoja kwa mauaji ya mwanafunzi ambaye alikataa ombi la kuwa katika uhusiano nae,
Tajiri huyo amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa kuwalawiti wasichana saba katika kituo cha watoto yatima alichoanzisha