Mahakama ya Pakistan yamhukumu kifo mwanamke kwa kukufuru
Mwanamke huyo alipatikana na hatia ya kukufuru kwa kumtusi Mtume Muhammad katika jumbe alizotuma kupitia WhatsApp
Mwanamke huyo alipatikana na hatia ya kukufuru kwa kumtusi Mtume Muhammad katika jumbe alizotuma kupitia WhatsApp
Research shows Pfizer and Moderna jabs did not cause pregnancy complications.
In September, Toyota lowered the number of vehicles it hopes to make in the year to March 2022 to nine million, down from 9.3 million.
WHO unveiled a strategy last autumn to vaccinate 40% of the planet’s population by the end of 2021.
Lee, mwanasheria wa haki za binadamu aliyegeuka kuwa mwanasiasa, alisema watu wenye matatizo ya kupoteza nywele wamebaguliwa kwa muda mrefu.
WHO says Omicron should not be categorized as mild, as it “is hospitalizing people and it is killing people”.
Moto huo ulisababisha karibu kaya na ofisi 4,000, pamoja na hospitali, kukosa huduma ya mtandao kwa saa 28 hadi 50.
Uwanja wa ndege wa Kabul ulivamiwa mwezi Agosti wakati maelfu ya watu walipokuwa wakihama kwenda Amerika baada ya majeshi ya Amerika kuondoka Afghanistan.
China is Africa’s largest trading partner.
The announcement came as a US envoy was due to arrive in Ethiopia to encourage talks to end the fighting in the country’s north.