Rais wa Sri Lanka akimbilia Maldives
Rais wa Sri Lanka aliondoka nchini mwake kwenda Maldives mapema Jumatano baada ya miezi kadhaa ya maandamano kupinga mzozo mbaya zaidi wa kiuchumi wa taifa lake
Rais wa Sri Lanka aliondoka nchini mwake kwenda Maldives mapema Jumatano baada ya miezi kadhaa ya maandamano kupinga mzozo mbaya zaidi wa kiuchumi wa taifa lake
Nineteen people, mostly Israeli civilians inside Israel, have been killed mainly in attacks carried out by Palestinians and Israeli Arabs. Three Arab Israeli attackers have also been killed.
Amenufaika kutokana na taarifa potofu kwenye mitandao ya kijamii zinazowalenga wapiga kura wengi vijana ambao hawana kumbukumbu ya ufisadi, mauaji na dhuluma nyinginezo zilizofanywa wakati wa utawala wa miaka 20 wa mzee Marcos.
“I am ready to provide mediation for the peaceful settlement of disputes, based on the will of the countries in this region,” ~ Xue Bing, Beijing’s first special envoy for the Horn of Africa.
The legislation must clear several more hurdles before becoming law, but after Wednesday’s vote a small but enthusiastic group of activists celebrated noisily outside parliament, weeping, hugging and waving rainbow flags.
Wizara ya afya ya umma ilitangaza Februari kwamba bangi itaondolewa kwenye orodha ya mihadarati iliyopigwa marufuku, sheria hizo zilianza kutekelezwa Alhamisi.
Indonesia imemuita mjumbe wa India mjini Jakarta kuhusu matamshi ‘ya dharau’ yaliyotolewa kuhusu Mtume Muhammad na maafisa wawili wa chama tawala cha India
Bohari ya Kontena ya BM huko Sitakunda, ni ubia kati ya wafanyabiashara wa Bangladeshi na wa Uholanzi
“I was nervous about what was going on. I didn’t want to kill.” ~ Russian serviceman, Vadim Shishimarin.
Polisi wanasema watu wanane wamefariki tangu Jumatatu, baada ya maandamano na machafuko kuzuka kupinga kudorora kwa uchumi.