Serikali za Afrika zang’ang’ana kuwasaidia raia wake nchini Ukraine baada ya madai ya kudhulumiwa
Waafrika nchini Ukraine, wengi wao wakiwa wanafunzi, ni miongoni mwa mamia ya maelfu ya watu wanaojaribu kukimbilia Poland na mataifa mengine jirani.
Waafrika nchini Ukraine, wengi wao wakiwa wanafunzi, ni miongoni mwa mamia ya maelfu ya watu wanaojaribu kukimbilia Poland na mataifa mengine jirani.
Historia na utamaduni wa Urusi na Ukraine unafanana- wanashiriki dini moja ya Kikristo ya Orthodox, na lugha zao, mila na vyakula vya kitaifa vinafanana.
Shirika la UN la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema takriban wahamiaji 1,300 walitoweka au kufa maji mwaka jana katika bahari ya Mediterania.
The announcement came as Moscow was lambasted on the opening day of the rights council’s main annual session, with presidents, ministers and other dignitaries from around the world voicing alarm at its full-scale invasion of Ukraine
The UN High Commissioner for Human Rights says the suffering in Ukraine is widespread.
Ukraine’s request to hold an urgent debate at the council in Geneva was supported by 29 of the council’s 47 members.
Kulingana na taarifa ya Pentagon, jeshi la Urusi halijafikia malengo ambayo lilikuwa limejiwekea kabla ya kuvuka mpaka na kuingia Ukraine.
Moscow ina hazina kubwa zaidi ya silaha za nyuklia na hifadhi kubwa ya makombora ya balestiki
The ban will apply from midnight Friday and it applies to all Russian airline companies
“We have already strengthened our deterrence and defence,” Stoltenberg said.