• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Middle East

Indonesia yamwita mjumbe wa India kwa mkutano kuhusu matamshi ‘ya dharau’ dhidi ya Mtume
Asia Features Middle East People Politics

Indonesia yamwita mjumbe wa India kwa mkutano kuhusu matamshi ‘ya dharau’ dhidi ya Mtume

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Indonesia imemuita mjumbe wa India mjini Jakarta kuhusu matamshi ‘ya dharau’ yaliyotolewa kuhusu Mtume Muhammad na maafisa wawili wa chama tawala cha India

Kipindi maarufu, “Real Housewives of Dubai” chazinduliwa Dubai
Entertainment Features Middle East People

Kipindi maarufu, “Real Housewives of Dubai” chazinduliwa Dubai

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Kama vile mfululizo wa vipindi vya Real Housewives vinavyorekodiwa huko Amerika, onyesho hili litafuata maisha ya wanawake matajiri huko Dubai

Uchunguzi wa Wapalestina wabainisha kuwa mwandishi wa habari ‘aliuawa’ na mwanajeshi wa Israel
Features Middle East

Uchunguzi wa Wapalestina wabainisha kuwa mwandishi wa habari ‘aliuawa’ na mwanajeshi wa Israel

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Mamlaka ya Palestina (PA) na Al Jazeera wameshutumu vikosi vya Israeli kwa kumuua Shireen Abu Akleh mnamo Mei 11 alipokuwa akiripoti operesheni ya Israeli katika mji wa Jenin, Ukingo wa Magharibi.

Wanawake wa Afghanistan wapinga agizo la Taliban kufunika nyuso na vazi la burqa
Asia Features Middle East

Wanawake wa Afghanistan wapinga agizo la Taliban kufunika nyuso na vazi la burqa

Maureen MedzaMay 10, 2022May 10, 2022

Akhundzada pia aliamuru mamlaka kuwafuta kazi wafanyikazi wa serikali wa kike ambao hawafuati kanuni mpya ya mavazi, na kuwasimamisha kazi wafanyikazi wa kiume ikiwa wake na binti zao watakosa kufuata sheria hizo.

More than 100 hurt in Jerusalem clashes as religious festivals overlap
Middle East War & Conflicts

More than 100 hurt in Jerusalem clashes as religious festivals overlap

Mwanzo EditorApril 15, 2022July 2, 2024

Fresh violence as Jewish and Christian festivals overlap with Ramadan

Msanii wa Nigeria Davido ashirikishwa katika wimbo rasmi wa Kombe la Dunia Qatar 2022
Africa Entertainment Features Football International Middle East

Msanii wa Nigeria Davido ashirikishwa katika wimbo rasmi wa Kombe la Dunia Qatar 2022

Maureen MedzaApril 1, 2022April 1, 2022

Onyesho la kwanza la wimbo huo litafanyika usiku wa leo kabla ya droo ya makundi inayotarajiwa kuanza saa 19:00 kwa saa za Qatar.

Droo ya Kombe la Dunia la mwaka huu kufanyika mjini Doha leo Ijumaa 1 Aprili
Africa Europe Features Football International Middle East Sports

Droo ya Kombe la Dunia la mwaka huu kufanyika mjini Doha leo Ijumaa 1 Aprili

Maureen MedzaApril 1, 2022April 1, 2022

Droo ya Ijumaa itafanyika katika Kituo cha Maonyesho na Mikutano cha Doha, huku washindi wa zamani wa Kombe la Dunia kama vile Cafu na Lothar Matthaeus wakiwa kati ya wasaidizi wa droo.

Mwalimu katika shule ya Pakistan auawa kwa ‘kukufuru’ polisi wasema
Asia Middle East

Mwalimu katika shule ya Pakistan auawa kwa ‘kukufuru’ polisi wasema

Maureen MedzaMarch 30, 2022March 30, 2022

Inasemekana jamaa alikuwa ameota kwamba mwanamke aliyekufa “amemkufuru” Mtume Mohammed, maafisa walisema,

EU inakanusha kutumia vigezo viwili tofauti kushughulikia wakimbizi wa Syria na wale wa Ukraine
Europe International Middle East War & Conflicts

EU inakanusha kutumia vigezo viwili tofauti kushughulikia wakimbizi wa Syria na wale wa Ukraine

Maureen MedzaMarch 18, 2022July 2, 2024

Zaidi ya watu milioni 1 wengi wao kutoka Syria walifika ufuo wa Ulaya mwaka 2015, lakini hawakupewa hadhi ya ulinzi wa moja kwa moja.

Watu 160 wakamatwa huku polisi wakijeruhiwa katika vurugu za soka nchini Morocco
Africa Features Football Middle East Sports

Watu 160 wakamatwa huku polisi wakijeruhiwa katika vurugu za soka nchini Morocco

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Vurugu hizo zilitokea mwishoni mwa mchezo wa Kombe la Throne Cup kati ya AS FAR, klabu ya Wanajeshi wa Morocco yenye makao yake mjini Rabat, na Maghreb de Fez (MAS).

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy