WHO: Zaidi ya theluthi mbili ya Waafrika waliambukizwa UVIKO 19
Wakati janga hilo limekuwa na athari mbaya kwa sehemu zingine za ulimwengu, Afrika ilionekana kuepuka athari hizo na haikuathiriwa vibaya kama ilivyohofiwa mwanzoni mwa janga hilo.
Wakati janga hilo limekuwa na athari mbaya kwa sehemu zingine za ulimwengu, Afrika ilionekana kuepuka athari hizo na haikuathiriwa vibaya kama ilivyohofiwa mwanzoni mwa janga hilo.
“The unbearable images we have seen of the massacre of civilians in the town of Bucha after the withdrawal of the Russian army deeply outrage us,” ~ Foreign Minister Jose Manuel Albares.
Ukrainian President Volodymyr Zelensky challenged the United Nations to “act immediately”.
Sri Lanka has been plunged into political turmoil, with President Gotabaya Rajapaksa under pressure to resign as protests escalate over…
Kwa sasa Elon Musk ndiye mtu tajiri zaidi duniani, akiwa na utajiri wa dola bilioni 287.6, kulingana na Forbes.
UN climate experts estimate that sharp cuts to demand for energy-guzzling services could slash emissions up to 70 percent by 2050.
Jon Batiste alishinda tuzo tano zikiwemo Albamu Bora ya Mwaka.
Onyesho la kwanza la wimbo huo litafanyika usiku wa leo kabla ya droo ya makundi inayotarajiwa kuanza saa 19:00 kwa saa za Qatar.
Miaka 20 iliyopita, Aprili 1, 2002, Uholanzi ilikuwa nchi ya kwanza ulimwenguni kuhalalisha “euthanasia”, ambapo mtu husaidiwa kujitoa uhai.
Droo ya Ijumaa itafanyika katika Kituo cha Maonyesho na Mikutano cha Doha, huku washindi wa zamani wa Kombe la Dunia kama vile Cafu na Lothar Matthaeus wakiwa kati ya wasaidizi wa droo.