• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: International

Vita vya Ukraine: Bei za bidhaa muhimu zapanda na mfumuko wa bei washuhudiwa Afrika
Africa Europe Features International

Vita vya Ukraine: Bei za bidhaa muhimu zapanda na mfumuko wa bei washuhudiwa Afrika

Maureen MedzaMarch 18, 2022March 18, 2022

“Vita vya Ukraine vinamaanisha njaa barani Afrika,” Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) Kristalina Georgieva alisema Jumapili.

Jumba la maonyesho Ukraine, lililowapa hifadhi zaidi ya raia 1,000 lalipuliwa kwa mabomu
Europe Features International

Jumba la maonyesho Ukraine, lililowapa hifadhi zaidi ya raia 1,000 lalipuliwa kwa mabomu

Maureen MedzaMarch 17, 2022March 17, 2022

Zaidi ya watu 2,000 wameuawa katika mji huo wa Mariupol kulingana na mamlaka ya Ukraine.

Mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine yazusha hofu ya njaa mashariki mwa DR Congo
Africa East Africa Features International

Mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine yazusha hofu ya njaa mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMarch 17, 2022March 17, 2022

Bei ya unga wa mahindi, mchele, sukari, mafuta na nyanya imepanda, na hivyo kutoa changamoto kubwa kwa wale wanoishi kwa dola kadhaa kwa siku.

Tembo 13 kusafirishwa kutoka Uingereza hadi Kenya katika safari ya saa 12
Africa East Africa Environment Europe Nature

Tembo 13 kusafirishwa kutoka Uingereza hadi Kenya katika safari ya saa 12

Maureen MedzaMarch 16, 2022March 16, 2022

Kuhamishwa kwa ndovu hao hadi kwa hifadhi ya Kenya itagharimu pauni 950,000 (dola milioni 1.2), kulingana na Wakfu wa Aspinall, kikundi cha uhifadhi wa wanyama pori.

India imemkamata ‘daktari’ mlaghai aliyeoa wanawake 18
Arts & Culture Asia

India imemkamata ‘daktari’ mlaghai aliyeoa wanawake 18

Maureen MedzaMarch 16, 2022March 16, 2022

Mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 67 alivinjari tovuti za ndoa akijifanya kuwa daktari na kuwashawishi wanawake maprofesa, wanasheria, matabibu na afisa wa kijeshi kufunga ndoa naye

Mwandamanaji aliyeoneka kwenye runinga ya Urusi huenda akahukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani
Europe Features International Politics

Mwandamanaji aliyeoneka kwenye runinga ya Urusi huenda akahukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Mwezi huu Urusi ilipitisha vifungo vya sheria vya kifungo cha hadi miaka 15 jela kwa kueneza habari za uwongo zenye lengo la kudhalilisha jeshi lake, pamoja na kifungo cha hadi miaka 3 jela kwa kuitisha vikwazo dhidi ya Urusi.

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine
Europe Features International

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Kremlin ilisema wiki iliyopita kwamba watu wa kujitolea, wakiwemo kutoka Syria, wanakaribishwa kupigana pamoja na jeshi la Urusi nchini Ukraine.

Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea
Europe International Politics

Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Msururu wa milipuko mikali ilitikisa maeneo ya makazi ya watu wa Kyiv mapema Jumanne na kuua watu wawili, saa chache kabla ya mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi kutarajiwa kuanza tena.

Watu 160 wakamatwa huku polisi wakijeruhiwa katika vurugu za soka nchini Morocco
Africa Features Football Middle East Sports

Watu 160 wakamatwa huku polisi wakijeruhiwa katika vurugu za soka nchini Morocco

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Vurugu hizo zilitokea mwishoni mwa mchezo wa Kombe la Throne Cup kati ya AS FAR, klabu ya Wanajeshi wa Morocco yenye makao yake mjini Rabat, na Maghreb de Fez (MAS).

TikTok expands max video length to 10 minutes, up from 3 minutes
Arts & Culture Entertainment International Science & Tech

TikTok expands max video length to 10 minutes, up from 3 minutes

Justus TharaoMarch 14, 2022July 2, 2024

“We’re always thinking about new ways to bring value to our community and enrich the TikTok experience. Last year, we introduced longer videos, giving our community more time to create and be entertained on TikTok,”

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy