Uingereza yaondoa vizuizi vya usafiri kwa mataifa yote ya Afrika
“kwa sasa kuweka vizuizi vya usafiri hakusadii kudhibiti kuenea kwa kirusi cha Omicron kutoka mataifa ya nje.” Waziri wa Afya wa Uingereza Sajid Javid
“kwa sasa kuweka vizuizi vya usafiri hakusadii kudhibiti kuenea kwa kirusi cha Omicron kutoka mataifa ya nje.” Waziri wa Afya wa Uingereza Sajid Javid
The anti-COVID pill is believed to reduce hospitalizations and deaths.
Africa has reportedly recorded a sharp rise in COVID-19 cases over the last week.
President Cyril Ramaphosa, who is fully vaccinated, began feeling unwell on Sunday.
Kwa kubofya kitufe, chombo hicho hujaa gesi ya nitrojeni, ambayo hupunguza viwango vya oksijeni kwa haraka, na kusababisha mtumiaji wake kupoteza fahamu ndani ya dakika moja,
Tamasha hilo huwakaribisha wafugaji wenye ngamia warembo kushindana kwa zawadi ya kiasi cha £50m.
“Tulianza kupiga kelele kwamba tutaungua, tulipoona moto unazidi kuwaka, lakini polisi walikataa kufungua milango,” – Mfungwa
Milki za Kiarabu imetangaza Jumanne kwamba wiki ya kazi itakuwa siku nne na nusu, ikiwa ni Ijumaa alasiri, Jumamosi, na Jumapili kuunda wikendi mpya.
Daktari wa upasuaji nchini Austria ambaye alishtakiwa kwa kukata mguu ambao haukustahili kukatwa wa mgonjwa sasa anakabiliwa na mashtaka.
“South Africa now has sufficient supplies of vaccines, … vaccination is essential for our economic recovery because as more people are vaccinated more areas of economic activity will be opened up,” he said.