Mkuu wa Tume ya Umoja wa Afrika ahimiza utulivu baada ya maandamano ya ghasia nchini Kenya
Faki anaonyesha wasiwasi mkubwa juu ya ghasia, ambazo zimesababisha watu kupoteza maisha, uharibifu wa mali na kukatizwa kwa shughuli fulani za kiuchumi
Faki anaonyesha wasiwasi mkubwa juu ya ghasia, ambazo zimesababisha watu kupoteza maisha, uharibifu wa mali na kukatizwa kwa shughuli fulani za kiuchumi
Nia ya uvamizi huo haijulikani wazi
Hii ni baada ya Sheikh Ponda kutoa taarifa kupitia ukurasa wa Twitter ikisema “22.03.2023 Jaji Mfawidhi alitembelea Mahabusu wa Ugaidi Arusha na kuwaambia kesi zao zimekwama kwa sababu Mahakama haijapewa Bajeti”
Zaidi ya watu 200 walikamatwa Jumatatu iliyopita, wakiwemo wanasiasa kadhaa wakuu wa upinzani, huku msafara wa Odinga mwenyewe ukipigwa na mabomu ya machozi na maji ya kuwasha
Azimio imetangaza kuwa itafanya maandamano yake mara mbili kwa wiki siku za Jumatatu na Alhamisi hadi serikali itakapopunguza gharama ya maisha
Katiba inasema kanuni za programu zinahitaji kuangaliwa mara moja kila baada ya miaka miwili lakini mamlaka hiyo ilizipitia kwa mara ya mwisho mwaka 2019 ambao ni zaidi ya miezi 18 iliyopita
Bemba alikuwa amefungwa na ICC kwa uhalifu uliofanywa na waasi chini ya amri yake, lakini mahakama hiyo ilibatilisha hukumu yake mwaka 2018
Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda Vincent Biruta amesema kwamba nchi yake inahofu kuhusu uwezekano wauliopo wa “mauaji ya…
Getachew, adviser to TPLF leader Debretsion Gebremichael, also once served as communications minister in the federal government under prime minister Hailemariam Desalegn who governed from 2012 to 2018
Inflation hit 9.2 percent in February, according to the latest government figures