Watu kumi wafariki katika ajali ya boti Nigeria
Miili kumi ilipatikana Jumatano baada ya boti iliyokuwa imebeba zaidi ya wanawake 100 na watoto kupasuka kwenye mto kaskazini mwa Nigeria
Miili kumi ilipatikana Jumatano baada ya boti iliyokuwa imebeba zaidi ya wanawake 100 na watoto kupasuka kwenye mto kaskazini mwa Nigeria
Britain’s Prince Harry recounts in his new book how he was physically “attacked” by his older brother Prince William during an argument in 2019
Polisi wamemwita mmiliki wa Freedom City Mall, John Sebalamu kuhojiwa kuhusu mkanyagano wa mkesha wa kuua mwaka mpya uliosababisha takriban watu 10 kuuawa
Hassan has been under pressure to break with the hardline policies of John Magufuli, who died in 2021 after six years of heavy-handed rule in a country once seen as a democratic beacon in East Africa
Pele alikuwa katika afya dhaifu, akisumbuliwa na matatizo ya figo na kisha saratani ya utumbo mpana
Serikali ya Rwanda imekanusha madai ya DR Congo kwamba raia wa Rwanda waliokamatwa mjini Kinshasa walikuwa wakipanga njama ya kuidungua ndege iliyokuwa imembeba rais wa Kongo
Kundi linaloongozwa na Watutsi, M23 limeteka maeneo mengi katika jimbo la Kivu Kaskazini katika miezi ya hivi karibuni na kusonga mbele kuelekea mji mkuu wake Goma
Mwanasiasa wa upinzani Momodou Sabally, waziri wa zamani wa masuala ya rais chini ya kiongozi wa zamani Yahya Jammeh, alionekana kwenye video akipendekeza rais wa sasa Adama Barrow angepinduliwa kabla ya uchaguzi ujao
A prisoner of the military since a coup lat year, Suu Kyi, 77, has been convicted on every charge levelled against her ranging from corruption to illegally possessing walkie-talkies and flouting Covid restrictions.
A Pakistan court freed a rapist after he married his victim in a settlement brokered by a council of elders…