Malawi Election a Battle of Two Presidents
Malawi votes Tuesday in the third bout of a battle for power between two presidents, incumbent Lazarus Chakwera and his predecessor, Peter Mutharika.
Malawi votes Tuesday in the third bout of a battle for power between two presidents, incumbent Lazarus Chakwera and his predecessor, Peter Mutharika.
East Timor police on Tuesday clashed for a second day with protesters angry over a plan to buy SUVs for…
Tukio hilo limetokea leo asubuhi, wakati Lissu alipofikishwa mahakamani kwa ajili ya kuendelea kuwasilisha hoja za kupinga uhalali wa hati ya mashtaka dhidi yake. Hoja hizo alianza kuziwasilisha jana, Septemba 15, 2025.
He reminded the court that this is only the third treason case in Tanzania’s history, citing the 1971 trial linked to Bibi Titi Mohamed and the 1983 Khatibu Ghandi case, where judges stressed that treason requires concrete actions, not words.
Kwa mujibu wa hati ya mashtaka, Lissu anatuhumiwa kwamba mnamo Aprili 3 alikusudia “kuchochea wananchi kuzuia uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.” Hata hivyo, mwanasiasa huyo mashuhuri anasema kosa hilo haliingii kwenye wigo wa makosa ya uhaini kwa mujibu wa sheria za Tanzania.
However, ACT Wazalendo has blamed Chama Cha Mapinduzi (CCM) for the objections raised against its candidate Mr Mpina, terming the objections as unfounded and baseless.
The High Court panel announced that a ruling on Lissu’s objection will be delivered on Monday, September 15th, at 9 a.m.
Ambassador Abdallah S. Possi, dismissed the claims as “erroneous, misleading, and misconstrued. He also said that Tanzania remains fully committed to its constitutional and international obligations on human rights.
Lissu also raised concerns about repeated adjournments in the lower court, saying the case was postponed 13 times without proper reasons, leaving him in custody for months under harsh conditions
Shauri hilo lilitajwa leo kwa ajili ya kuendelea na usikilizwaji wa hoja za pingamizi zilizowasilishwa na Lissu, ambapo upande wa Jamhuri ulikuwa unakamilisha uwasilishaji wake kabla ya Lissu, anayejitetea mwenyewe, kujibu hoja hizo.