• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Politics

Chadema Deputy Secretary General Amani Golugwa arrested
Africa East Africa Politics Tanzania

Chadema Deputy Secretary General Amani Golugwa arrested

Kevin SeweMay 13, 2025May 13, 2025

Golugwa was arrested on Monday night at the Julius Nyerere International Airport (JNIA) as he prepared to board a Turkish Airlines flight to Belgium to represent the party at the International Democracy Union (IDU) conference in Brussels, which starts tomorrow in Belgium.

Majimbo mapya ya Uchaguzi yaliyotangazwa na INEC
East Africa Politics Tanzania

Majimbo mapya ya Uchaguzi yaliyotangazwa na INEC

Asia GambaMay 12, 2025

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuanzishwa kwa majimbo mapya nane ya uchaguzi pamoja na kubadilishwa kwa majina ya majimbo mengine 12, ikiwa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Martha Karua: Kenya iko katika hali ya siasa na uchumi isiyovumilika
East Africa Kenya Politics

Martha Karua: Kenya iko katika hali ya siasa na uchumi isiyovumilika

Asia GambaMay 9, 2025

Mwanasiasa mkongwe Martha Karua ametangaza nia yake ya kugombea urais wa Kenya katika uchaguzi wa mwaka 2027, akisema kuwa nchi hiyo iko “katika hali ya vurugu kamili” kutokana na ufisadi, mauaji yanayotekelezwa na polisi, na kuzorota kwa uchumi.

European Parliament Condemns Arrest of Tanzanian Opposition Leader Tundu Lissu
East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

European Parliament Condemns Arrest of Tanzanian Opposition Leader Tundu Lissu

Joy CheptooMay 8, 2025

The European Parliament also voiced its opposition to the death penalty, calling for the Tanzanian government to stop its crackdown on opposition parties, civil society and journalists.

EU yalaani ukandamizaji wa Demokrasia Tanzania, yataka Lissu aachiwe huru
East Africa People Politics Social Issues Tanzania

EU yalaani ukandamizaji wa Demokrasia Tanzania, yataka Lissu aachiwe huru

Asia GambaMay 8, 2025

Katika mijadala yao, wabunge hao wamekemea waziwazi uwepo wa vitisho vya adhabu ya kifo kwa Lissu, wakisema kuwa mashtaka ya uhaini na kusambaza taarifa za uongo dhidi yake ni ya kisiasa na yenye lengo la kumzuia kushiriki katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

European Parliament Debates Resolution on Tundu Lissu’s Arrest and Risk of Execution
East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

European Parliament Debates Resolution on Tundu Lissu’s Arrest and Risk of Execution

Joy CheptooMay 8, 2025

Although the resolution condemning his arrest was debated, the vote is scheduled for today May 8th 2025.

Sri Lanka Ruling Party Wins Local Elections
International Politics

Sri Lanka Ruling Party Wins Local Elections

Wadh KassimMay 7, 2025

President Anura Kumara Dissanayake’s coalition received the most votes in 265 out of the 339 councils, but fell short of an outright majority in about half of them.

Siasa za visasi zadaiwa kukitafuna CHADEMA, G55 watangaza kujiondoa
East Africa Politics Tanzania

Siasa za visasi zadaiwa kukitafuna CHADEMA, G55 watangaza kujiondoa

Asia GambaMay 7, 2025

Kundi la viongozi wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), maarufu kama G55, limetangaza rasmi kujiondoa katika chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania, likidai kukithiri kwa ukiukwaji wa katiba, ubaguzi na siasa za visasi zinazoendeshwa na uongozi wa sasa.

European Parliament To Hold Emergency Debate On Tundu Lissu’s Case Today
East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

European Parliament To Hold Emergency Debate On Tundu Lissu’s Case Today

Joy CheptooMay 7, 2025

The debate will take place from 13:00 to 22:00 CET

Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Mei 19, Mahakama yatoa onyo
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Mei 19, Mahakama yatoa onyo

Asia GambaMay 6, 2025

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, imeahirishwa kwa siku 13 hadi Mei 19, 2025, baada ya upande wa Jamhuri kueleza kuwa upelelezi haujakamilika.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy