Human Rights Groups to Hold Nairobi Protest, Demand Kizza Besigye’s Release
The groups announced plans for a peaceful protest on February 21st 2025, marching to the Ugandan High Commission and Kenya’s National Assembly
The groups announced plans for a peaceful protest on February 21st 2025, marching to the Ugandan High Commission and Kenya’s National Assembly
Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi leo Jumanne Februari 18, 2025, kwenye Uzinduzi wa kampeni ya Kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Jijini Mwanza, ameshauri kuzingatiwa kwa Ibara ya Tisa ya Katiba ya Tanzania yenye kuhimiza kuhusu utu, Upendo na utii kama suluhu ya migogoro mingi ya kijamii.
Kiongozi wa upinzani wa Uganda, Kizza Besigye, anasema kuwa “anaumwa vibaya” gerezani siku tatu baada ya kuanza mgomo wa kula kupinga kizuizi chake, alieleza mmoja wa mawakili wake.
Hii leo inatajwa kwa ajili ya kuangaliwa iwapo upelelezi wa kesi umekamilika, ingawa imefungwa mikono kuendelea na hatua zaidi baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini kuwasilisha kusudio la kukata rufaa katika Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kuhusu kupatikana kwa dhamana ya mshtakiwa kutokana na kuangalia uhalali wa kesi ya jinai kwa haraka.
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwambukusi, amesema kuwa TLS siyo kikundi cha kigaidi bali ni taasisi halali inayofanya kazi kwa mujibu wa sheria, ikiwa na haki ya kuishauri, kupongeza, na hata kuikosoa serikali pale inapobidi.
Salwan Momika aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwake huko Södertälje, karibu na Stockholm, wakati akifanya matangazo ya moja kwa moja.
An Iraqi refugee in Sweden who repeatedly burned the Koran in 2023, sparking outrage in Muslim countries, has been shot dead, investigators said Thursday, with Sweden’s prime minister suggesting a “foreign power” might have been involved.
Trump alisema kuwa atapigania haki ya Amerika na kuanzisha amri za utendaji, akisisitiza kuhusu sera za kupambana na uhamiaji haramu
Many in the queer community were alarmed by the election of Trump following a campaign in which the Republican put attacks on trans people and their rights front and center.
Sarungi suspects her abduction was linked to the Tanzanian government, citing her online activism and advocacy for democratic reforms.