Misri yaichabanga Cameroon 3-1 na kutinga fainali ya AFCON
Katika fainali Jumapili, Mo Salah atakuwa anakutana na mwenzake wa Liverpool, Sadio Mane, huku Mafarao hao wakiwinda taji la nane la michezo hii ya AFCON
Katika fainali Jumapili, Mo Salah atakuwa anakutana na mwenzake wa Liverpool, Sadio Mane, huku Mafarao hao wakiwinda taji la nane la michezo hii ya AFCON
Mason Greenwood has been further arrested on suspicion of sexual assault and threats to kill .
Wanawake wawili wa miaka thelathini, wanaume wanne wenye umri wa miaka thelathini, mtoto mmoja, waliuawawa katika msongamano huo
Algeria walikuja kwenye michuano hiyo na rekodi ya kutoshindwa kwa muda wa miaka mitatu iliyopita.
Misri, Ivory Coast,Mali,Gambia,Malawi na Cape Verde zimefuzu kuwa kati ya timu 16 bora.
Dimba la Kombe la Dunia litaanza Novemba 21 hadi Desemba 18.
Salima alikuwa afisa wa nne wakati Guinea ilipoishinda Malawi mnamo Januari 10 mjini Bafoussam.
Mabingwa mara nne Ghana waliondolewa kwenye AFCON baada ya kuchapwa 3-2 na Wacomoro katika Kundi C Jumanne mjini Garoua.
Arsenal striker Pierre-Emerick Aubameyang has been allowed to return to his club to continue his recovery from COVID-19.
Most matches at the Africa Cup of Nations so far have been played out in front of largely empty stadiums in Cameroon.