Yanga Yatwaa Ubingwa Wa Ligi Kuu Bara Kwa Mara Ya 29
Yanga yatawazwa mabingwa wa ligi kuu Bara kwa mara ya pili mtawalia. Yanga imetetea ubingwa wake baada ya kuishinda Dodoma Jiji magoli 4-2
Yanga yatawazwa mabingwa wa ligi kuu Bara kwa mara ya pili mtawalia. Yanga imetetea ubingwa wake baada ya kuishinda Dodoma Jiji magoli 4-2
In the semi-final first legs on Wednesday, Young Africans of Tanzania host Marumo Gallants of South Africa and ASEC Mimosas of the Ivory Coast entertain USM Alger of Algeria
Serikali ya Kenya mwezi Disemba iliidhinisha pendekezo la baraza la mawaziri kuunga mkono ombi la mashindano hayo yanayofanyika kila baada ya miaka miwili, pamoja na majirani zake wawili
Nyumba zake zote, magari, nguo, na vito vyake vyote vilipatikana kuwa katika jina la mama yake, na mamilioni ya mshahara yaliwekwa kwenye akaunti zenye jina la mama yake
Kocha wa zamani wa kandanda nchini DR Congo amesimamishwa kazi kwa muda wa miezi mitano baada ya uchunguzi wa awali…
Timu ya Taifa nchini Tanzania Taifa Stars inatarajiwa kushuka dimbani leo nchini Misri kuikabili The Cranes (Uganda) katika mchezo wa tatu wa Kundi F wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Africa (AFCON) mwaka 2023 nchini Ivory Coast.
Kiungo wa kati wa Manchester city Kevin De Bruyne amethibitishwa kuwa nahodha mpya wa timu ya taifa ya Ubelgiji kufuatia kustaafu kwa Eden Hazard.
Mbappe, 24, alikubali jukumu hilo baada ya mazungumzo na kocha Didier Deschamps
Infantino pia ametangaza makadirio ya mapato ya dola bilioni 11 katika miaka minne hadi 2026, ikilinganishwa na $ 7.5 bilioni katika mzunguko wa miaka minne uliomalizika mnamo 2022
Ractliffe mwenye umri wa miaka 70 na kampuni yake tayari wamewasilisha ofa ya kutaka kununua asilimia 69 ya kuinunua Man United.