Man City kupanua Uwanja wa Etihad hadi kufikia zaidi ya watu 60,000
Mipango hiyo itaongeza takriban viti 7,000 kwenye uwanja huo pamoja na eneo jipya la mashabiki, duka la vilabu, jumba la makumbusho na hoteli ya vitanda 400.
Mipango hiyo itaongeza takriban viti 7,000 kwenye uwanja huo pamoja na eneo jipya la mashabiki, duka la vilabu, jumba la makumbusho na hoteli ya vitanda 400.
According to the prize money that was restructured in 2022, the winner in the men’s and women’s top division will pocket $150,000 (Ksh 20,157,000) with the first runner up taking $75,000 (Ksh10,078,500) while the second runner-up will go home with $40,000 (Ksh5,375,200).
Nyumba zake zote, magari, nguo, na vito vyake vyote vilipatikana kuwa katika jina la mama yake, na mamilioni ya mshahara yaliwekwa kwenye akaunti zenye jina la mama yake
Moroccan international Achraf Hakimi has become a trending topic across the world after his wife discovered he owns nothing despite…
Misururu zaidi ya michezo ya ndondi yamepangwa kote nchini Kenya kama sehemu moja ya kukuza umaarufu na ushirikishaji wa jamii katika fani hio.
Morocco inakuwa timu ya pili barani Afrika kuwai kuishinda Brazil katika historia ya soka duniani
Bondia Mtanzania, Karim Mandoga ‘Mtu Kazi’ amshinda Kenneth Lukyamuzi wa Uganda kwa pointi za majaji wawili baada ya pambano kali la raundi 8
Pigano linalosubiriwa kwa hamu na gamu dhidi ya mandonga nan a mganda Kenneth Lukyamuzi litapeperushwa moja kwa moja kuanzia saa moja usiku kutoka ukumbi wa Kasarani Gymnasium.
Kocha wa zamani wa kandanda nchini DR Congo amesimamishwa kazi kwa muda wa miezi mitano baada ya uchunguzi wa awali…
Timu ya Taifa nchini Tanzania Taifa Stars inatarajiwa kushuka dimbani leo nchini Misri kuikabili The Cranes (Uganda) katika mchezo wa tatu wa Kundi F wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Africa (AFCON) mwaka 2023 nchini Ivory Coast.