• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Sports

Ufanisi Wa Karim Mandonga Wachochea Kuandaliwa Kwa Misusuru Ya Ndondi Kenya
Sports

Ufanisi Wa Karim Mandonga Wachochea Kuandaliwa Kwa Misusuru Ya Ndondi Kenya

Kevin SeweMarch 29, 2023March 29, 2023

Misururu zaidi ya michezo ya  ndondi yamepangwa kote nchini Kenya kama sehemu moja ya kukuza umaarufu na ushirikishaji  wa jamii katika fani hio.

Morocco Yaandikisha Historia Baada Ya Kuibwaga Brazil 2-1
Sports

Morocco Yaandikisha Historia Baada Ya Kuibwaga Brazil 2-1

Kevin SeweMarch 26, 2023March 26, 2023

Morocco inakuwa timu ya pili barani Afrika kuwai kuishinda Brazil katika historia ya soka duniani

Mandonga Amshinda Mganda Lukyamuzi Kwenye Pigano Kali Jijini Nairobi
Sports

Mandonga Amshinda Mganda Lukyamuzi Kwenye Pigano Kali Jijini Nairobi

Kevin SeweMarch 26, 2023March 26, 2023

Bondia Mtanzania, Karim Mandoga ‘Mtu Kazi’ amshinda Kenneth Lukyamuzi wa Uganda kwa pointi za majaji wawili baada ya pambano kali la raundi 8

Mandonga Na ‘MlungaMbunga’ Yuko Nairobi Kwa Pigano Dhidi Ya Lukyamuzi
Sports

Mandonga Na ‘MlungaMbunga’ Yuko Nairobi Kwa Pigano Dhidi Ya Lukyamuzi

Kevin SeweMarch 24, 2023March 24, 2023

Pigano linalosubiriwa kwa hamu na gamu dhidi ya mandonga nan a mganda Kenneth Lukyamuzi litapeperushwa moja kwa moja  kuanzia saa moja usiku kutoka ukumbi wa Kasarani Gymnasium.

Michezo Afrika yakumbwa na madai ya unyanyasaji wa kijinsia nchini DR Congo na Cameroon
Africa Football Sports

Michezo Afrika yakumbwa na madai ya unyanyasaji wa kijinsia nchini DR Congo na Cameroon

Mwanzo EditorMarch 24, 2023March 24, 2023

Kocha wa zamani wa kandanda nchini DR Congo amesimamishwa kazi kwa muda wa miezi mitano baada ya uchunguzi wa awali…

Taifa Stars kuikabili The Cranes ya Uganda leo
Football Sports

Taifa Stars kuikabili The Cranes ya Uganda leo

Asia GambaMarch 24, 2023March 24, 2023

Timu ya Taifa nchini Tanzania Taifa Stars inatarajiwa kushuka dimbani leo nchini Misri kuikabili The Cranes (Uganda) katika mchezo wa tatu wa Kundi F wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Africa (AFCON) mwaka 2023 nchini Ivory Coast.

Kevin De Bruyne Ameteuliwa Nahodha Wa Timu Ya Taifa Ya Ubelgiji
Europe Football

Kevin De Bruyne Ameteuliwa Nahodha Wa Timu Ya Taifa Ya Ubelgiji

Kevin SeweMarch 22, 2023July 2, 2024

Kiungo wa kati wa Manchester city Kevin De Bruyne amethibitishwa kuwa nahodha mpya wa timu ya taifa ya Ubelgiji kufuatia kustaafu kwa Eden Hazard.

Mbappe kuwa nahodha mpya wa Ufaransa
Football People Sports

Mbappe kuwa nahodha mpya wa Ufaransa

Joy CheptooMarch 21, 2023March 21, 2023

Mbappe, 24, alikubali jukumu hilo baada ya mazungumzo na kocha Didier Deschamps

Yanga Yafuzu Robo Fainali Ya Kombe La Shirikisho Afrika
Sports

Yanga Yafuzu Robo Fainali Ya Kombe La Shirikisho Afrika

Kevin SeweMarch 19, 2023March 19, 2023

Yanga imeandika Historia baada ya kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Kwa mara ya kwanza, mafanikio makubwa waliyokuwa nayo ilikuwa ni kuishia hatua ya makundi.

Miamba Wa Soka Tanzania Simba Waipa Horoya Kichapo Cha 7-0
Sports

Miamba Wa Soka Tanzania Simba Waipa Horoya Kichapo Cha 7-0

Kevin SeweMarch 19, 2023March 19, 2023

klabu ya Simba imefuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika baada ya kulabua Horoya ya Guinea magoli 7-0

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy