• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Sports

Kevin De Bruyne Ameteuliwa Nahodha Wa Timu Ya Taifa Ya Ubelgiji
Europe Football

Kevin De Bruyne Ameteuliwa Nahodha Wa Timu Ya Taifa Ya Ubelgiji

Kevin SeweMarch 22, 2023July 2, 2024

Kiungo wa kati wa Manchester city Kevin De Bruyne amethibitishwa kuwa nahodha mpya wa timu ya taifa ya Ubelgiji kufuatia kustaafu kwa Eden Hazard.

Mbappe kuwa nahodha mpya wa Ufaransa
Football People Sports

Mbappe kuwa nahodha mpya wa Ufaransa

Joy CheptooMarch 21, 2023March 21, 2023

Mbappe, 24, alikubali jukumu hilo baada ya mazungumzo na kocha Didier Deschamps

Yanga Yafuzu Robo Fainali Ya Kombe La Shirikisho Afrika
Sports

Yanga Yafuzu Robo Fainali Ya Kombe La Shirikisho Afrika

Kevin SeweMarch 19, 2023March 19, 2023

Yanga imeandika Historia baada ya kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Kwa mara ya kwanza, mafanikio makubwa waliyokuwa nayo ilikuwa ni kuishia hatua ya makundi.

Miamba Wa Soka Tanzania Simba Waipa Horoya Kichapo Cha 7-0
Sports

Miamba Wa Soka Tanzania Simba Waipa Horoya Kichapo Cha 7-0

Kevin SeweMarch 19, 2023March 19, 2023

klabu ya Simba imefuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika baada ya kulabua Horoya ya Guinea magoli 7-0

Gianni Infantino amechaguliwa tena kuwa rais wa FIFA hadi 2027
Football People Sports

Gianni Infantino amechaguliwa tena kuwa rais wa FIFA hadi 2027

Joy CheptooMarch 16, 2023March 16, 2023

Infantino pia ametangaza makadirio ya mapato ya dola bilioni 11 katika miaka minne hadi 2026, ikilinganishwa na $ 7.5 bilioni katika mzunguko wa miaka minne uliomalizika mnamo 2022

Chelsea Kumenyana Na Dortmund Katika Dimba La UEFA
Sports

Chelsea Kumenyana Na Dortmund Katika Dimba La UEFA

Kevin SeweMarch 7, 2023March 7, 2023

Kocha mkuu wa klabu ya Borussia Dortmund Edin Terzic amepuuzilia mbali uwezekano wa nyota Jude Bellingham ya kuondoka kwenye kikosi…

Aliyekuwa Kocha Wa Harambee Stars Adel Amrouche Ateuliwa Kocha Wa Taifa Stars Ya Tanzania
East Africa People Sports

Aliyekuwa Kocha Wa Harambee Stars Adel Amrouche Ateuliwa Kocha Wa Taifa Stars Ya Tanzania

Mwanzo EditorMarch 6, 2023March 6, 2023

Amrouche,58, amewai kuitia makali timu ya soka ya Burundi, Equatorial Guinea, Botswana, Libya na Yemen

Sakata la Fei Toto na Yanga kumalizwa muda wowote kuanzia sasa.
Sports

Sakata la Fei Toto na Yanga kumalizwa muda wowote kuanzia sasa.

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Mwanasheria Fatma Karume ambaye anamwakilisha mchezaji Feisal Salum (Fei Toto) amesema kuwa wameiachia kamati itafakari upya maamuzi kuhusu mvutano wa…

Mabwenyenye Tayari Kutoa Mkwanja Kuinunua Manchester United.
Europe Football Sports

Mabwenyenye Tayari Kutoa Mkwanja Kuinunua Manchester United.

Davis MberiaFebruary 20, 2023February 20, 2023

Ractliffe mwenye umri wa miaka 70 na kampuni yake tayari wamewasilisha ofa ya kutaka kununua asilimia 69 ya kuinunua Man United.

Mwili Wa Mchezaji Christian Atsu Watua Nchini Ghana,Wapokelewa Na Majeshi.
Africa Europe Football Sports

Mwili Wa Mchezaji Christian Atsu Watua Nchini Ghana,Wapokelewa Na Majeshi.

Davis MberiaFebruary 20, 2023February 20, 2023

Atsu mwenye umri wa miaka 31,alipatikana ameaga dunia katika vifusi vya nyumba yake mjini Hatay Uturuki kufuatia tetemeko la ardhi lilotokea Februari 6 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 4,000 huku maelfu ya wengine wakipata majeraha.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo