Ujumbe wa amani wa Afrika katika vita vya Ukraine kuanza katikati ya Juni
Ujumbe huo uliozinduliwa na Ramaphosa mwezi uliopita unajumuisha marais wa Jamhuri ya Kongo, Misri, Senegal, Afrika Kusini, Uganda na Zambia.
Ujumbe huo uliozinduliwa na Ramaphosa mwezi uliopita unajumuisha marais wa Jamhuri ya Kongo, Misri, Senegal, Afrika Kusini, Uganda na Zambia.
Nchi za Kiafrika zimeathiriwa vibaya na ongezeko la mfumuko wa bei uliochochewa na vita hivyo, hasa katika mazao ya nafaka
Russian President Vladimir Putin and Ukrainian President Volodymyr Zelensky have “agreed to receive the mission and the African heads of state- South African President Cyril Ramaphosa said
Museveni alisema Uganda ilijizuia na kuchukua msimamo wa kutoegemea upande wowote wakati suala la Urusi na Ukraine lilipokuja kujadiliwa katika Umoja wa Mataifa.
Maafisa walikuwa wamekanusha kuwa Biden angezuru Ukraine wakati wa safari yake ya kuelekea Ulaya mashariki.
Kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, nchini Tanzania, Dk Stergomena Tax mtanzania huyo alikwenda nchini Urusi mwaka 2020 kwa ajili ya masomo ya shahada ya uzamili katika fani ya biashara, lakini mwezi machi 2022 alipatikana na hatia ya uhalifu na kuhudukumiwa kifungo cha miaka 7.
Watoto watatu pia walikuwa miongoni mwa waliofariki na wengine 15 wanaendelea kupokea matibabu hospitalini.
Kyiv imewataka viongozi barani Afrika kuwazuia raia wao wasijihusishe na uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine, siku moja baada ya Zambia kusema kuwa mmoja wao aliuawa
The Ukrainian presidency distributed images of him singing the national anthem, holding his hand over
“Siwezi na sitahusishwa na nchi ambayo ilianzisha vita na jirani yao wa amani na kuua watu wasio na hatia kila siku,” Tinkov alisema