Chad Denies Supplying Weapons to Sudan’s Warring Militia
Chad’s government was accused of aiding the RSF by Sudan’s Darfur Governor Minni Minnawi, who heads a faction allied with the Khartoum government.
Chad’s government was accused of aiding the RSF by Sudan’s Darfur Governor Minni Minnawi, who heads a faction allied with the Khartoum government.
Mkuu wa jeshi Abdel Fattah al-Burhan na makamu wake wa zamani Mohamed Hamdan Daglo, wamekuwa kwenye vita tangu Aprili 15 baada ya kutofautiana katika mzozo wa madaraka
In a statement, G7 foreign ministers meeting in Japan warned the fighting “threatens the security and safety of Sudanese civilians and undermines efforts to restore Sudan’s democratic transition”.
Wasudan waandamana kupinga unyakuzi wa kijeshi ulioongozwa na mkuu wa jeshi Abdel Fattah al-Burhan Oktoba mwaka jana.
Meli hiyo ya mifugo ilikuwa ikisafirisha wanyama hao kutoka Sudan hadi Saudi Arabia ilipozama
Moto huo ulioenea kwa kasi kwa saa kadhaa, ulizuka katika eneo la kushusha mizigo kwenye bandari siku ya Jumatano.
Darfur, ambayo imekumwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyozuka mwaka 2003, imeshuhudia ongezeko la vita na mauaji tangu Oktoba mwaka jana
Mapigano mapya yalizuka Jumanne kati ya watu wa kabila la Fallata na kabila la Kiarabu katika vijiji vya nje ya Nyala, mji mkuu wa jimbo la Darfur Kusini
Maandamano yameitikisa nchi hiyo tangu mkuu wa jeshi Abdel Fattah al-Burhan kuongoza unyakuzi wa kijeshi mwezi Oktoba
Sudan imetikiswa na maandamano ya mara kwa mara na ukandamizaji wa haki za watu tangu unyakuzi wa kijeshi wa Oktoba 25