Maafisa saba wa UN wafukuzwa kutoka Ethiopia.
Ethiopia imewafukuza maafisa saba wa Umoja wa Mataifa UN ambao walituhumu kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi.
Ethiopia imewafukuza maafisa saba wa Umoja wa Mataifa UN ambao walituhumu kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi.
Takriban watu 20,000 wengi wao waliosafiri kwa treni kutoka miji ya Atbara na Madani, walikusanyika katika mji mkuu Khartoum Alhamis 30.
Kulingana na taarifa iliyotolewa na wizara ya Mambo ya Ndani, raia wa kigeni 20,000 wameinga nchini tangu mwezi Juni.
Kulingana na data, takriban visa 5,375 vya mimba za utotoni viliripotiwa katika wilaya ya Kwania kati ya Januari 2020 hadi Septemba 2021.
mikakati hoyo itatumiwa kuunda katiba mpya na kufanyika kwa uchaguzi wa huru ,wazi na wa haki, ingawaje haikueleza serikali ya mpito itakuwepo kwa muda gani.
Theoneste Bagosora, Kanali wa zamani wa jeshi la Rwanda aliyefahamika kwa kuchangia na kupanga mauaji ya kimbari ya 1994 ameaga dunia.
Kenya Sevens finished third in the Edmonton Sevens after a convincing 33-14 win over hosts Canada in the third-place playoffs clash played at Commonwealth Stadium on Monday morning.
Mwaka wa 2004 Wangari Maathai alituzwa Tuzo ya Amani ya Nobel kwa mchango wake katika maendeleo endelevu, demokrasia na amani.Maathai alikuwa mwanamke wa kwanza mwafrika kushinda tuzo hiyo
Burna Boy alishinda tuzo ya “Best World Music Album” mwaka wa 2021 katika tuzo za 63 Annual Grammy Awards
Mapigano yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 3,306 wengi wao ikiwa ni raia, na kuwafurusha wengine 800,000 kutoka majumbani mwao.