Ruto Jets Out Of The Country For The EAC Summit In Arusha
President William Ruto has jetted out of the country to champion trade, security, and innovation at the 24th Ordinary Summit of the East African Heads of State in Arusha, Tanzania.
President William Ruto has jetted out of the country to champion trade, security, and innovation at the 24th Ordinary Summit of the East African Heads of State in Arusha, Tanzania.
The Duchess of Edinburgh, Sophie, has begun her official visit to Tanzania, which will last from September 16 to 20,…
Jopo la mawakili wa utetezi katika kesi inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu wamepinga hati ya kukamatia mali iliyowasilishwa na Shahidi wa 8, kwa kile walichodai kuwa hati hiyo imeandaliwa kwa sheria ambayo haipo nchini Tanzania.
Shahidi wa pili katika kesi ya Uhujumu Uchumi yenye makosa ya Ugaidi ndani yake inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu leo ameileza mahakama jinsi ambavyo Mbowe alivyokua na mkakati wa kutaka kumdhuru aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole.
Sabaya na wenzake watatu wanatarajia kukata rufaa baada ya kutoridhishwa na hukumu iliyotolewa.