Tahadhari ya UVIKO 19: Wapenzi nchini Thailand wahimizwa kuvaa barakoa wanaposhiriki kitendo cha ndoa katika siku ya Valentine
Mamlaka za afya zimeelezea wasiwasi kwamba tarehe 14 Feb inaweza kuzidisha idadi ya maambukizi ya UVIKO 19
Mamlaka za afya zimeelezea wasiwasi kwamba tarehe 14 Feb inaweza kuzidisha idadi ya maambukizi ya UVIKO 19
Idadi ya maambukizi mapya ya kila siku duniani ilipungua kwa wiki ya pili mfululizo, ikipungua kwa 17%
“A basic paradox has emerged, whereby people’s global consumption of, and reliance on, cultural content has increased, however, at the same time, those who produce arts and culture find it increasingly difficult to work,”
Janga la UVIKO-19 limeanza kupungua kote duniani wiki hii baada ya miezi mitatu na nusu ya ongezeko la maambukizo.
Visa vya UVIKO-19 na idadi ya vifo imepungua kwa mara ya kwanza tangu wimbi la nne kuripotiwa
Tangazo hilo limetolewa Alhamisi, saa chache kabla ya hafla hiyo kuanza
“Mashabiki hawataweza kuingia viwanjani… isipokuwa wale waliochanjwa kikamilifu na kuonyesha kipimo cha PCR
visa vya kirusi cha Omicron sasa vipo katika zaidi ya nchi 20 na katika mabara yote
kirusi hicho kwa jina la kisayansi B.1.1.529, ni kirusi hatari zaidi kuwahi kuonekana kufikia sasa na kina uwezo wa kukwepa kinga.
Kirusi hicho kwa jina la kisayansi B.1.1.529 kimegunduliwa pia nchini Botswana na Hong Kong miongoni mwa wasafiri kutoka Afrika Kusini.